BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 4,789
- 8,492
Milambo(Shule ya wanaume Tabora)
Leo nikiwa natoka mkoa x kwenda mkoa y, nilibahatika kushuka Tabora kupata pumziko kidogo ili kesho niendelee na safari.
Nikasema sio mbaya nikaitazame shule yangu pendwa, shule ambayo imeacha historia kubwa kwenye maisha yangu. Nimepata kumkuta yule babu Msengi, Mwalimu zouma naambiwa alihamishwa.
Embo WALAMBO njoeni tukumbushane mawil matatu hapa.
Leo nikiwa natoka mkoa x kwenda mkoa y, nilibahatika kushuka Tabora kupata pumziko kidogo ili kesho niendelee na safari.
Nikasema sio mbaya nikaitazame shule yangu pendwa, shule ambayo imeacha historia kubwa kwenye maisha yangu. Nimepata kumkuta yule babu Msengi, Mwalimu zouma naambiwa alihamishwa.
Embo WALAMBO njoeni tukumbushane mawil matatu hapa.