Wenye magari hii ni kweli?

Wenye magari hii ni kweli?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
16,029
Reaction score
26,235
Sikiliza…

 
Sikiliza…
Ni kweli kabisa!
Basi tulipata msiba mkoani, watu karibu 10 wananiuliza -unakwenda?
Kama unakwenda nipe lifti.
Nikawapa lifti watatu.
Basi hawatoi hela ya mafuta, ila wakati wa kurudi kila mtu kanunua vyakua mpaka mimi nakosa nafasi ya kuweka vya kwangu.
Na mkifika kila mtu anataka apelekwe nyumbani kwake.
Siku hizi nawaambia siendi au nalala pale njiani na naondoka usiku, kila mtu ajitegemee gesti tukifika mahala fulani.
Wanapungua karibia wote.
 
Back
Top Bottom