NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,535
- 17,473
Wakuu
Husika na mada hiyo!!
Kuna watu wananishawishi nijiunge na hii kitu,Dream line technology na swaga kibao za post watu wanapiga hela!
Kuna mtu amewahi kupiga Hela Kwa mfumo huu!?
Au ni here say kama za kina Mr kuku,Deci na n.k!
Nasubiri!
Husika na mada hiyo!!
Kuna watu wananishawishi nijiunge na hii kitu,Dream line technology na swaga kibao za post watu wanapiga hela!
Kuna mtu amewahi kupiga Hela Kwa mfumo huu!?
Au ni here say kama za kina Mr kuku,Deci na n.k!
Nasubiri!