Veta sijui kwanini watu wanaidharau.
Veta ni taasisi pekee ambayo asilimia 90 ya wahitimu wamejiajiri au kuajiriwa (Huu ni utafiti wangu binafsi)
Hiyoo RPL IMESITISHWA KWA MUDA TULIULIZIA MKUUKuna kitu kinaitwa RPL, kinaratibiwa na TCU wao wenyewe, unafanyiwa mafunzo fulani na chuo husika yanayohusu kozi unayotaka kusoma kwa muda, kisha TCU wanakupa mtihani kupitia kile chuo, ukifaulu huo mtihani kwa viwango walivyoviweka basi unadahiliwa kuisoma hiyo kozi. Hebu jaribu kufuatilia kwenye website ya TCU kuhusu hiyo RPL utapata mwanga zaidi. (Maelezo yangu yanaweza yasiwe sahihi kwa 100% ila amini niko "relevant" katika hili).
Kaka mimi nipo veta, RPL tunairatibu veta na sio TCU yaan kama wewe ni fundi, unajiandikisha then tutakufata ulipo tukupe mitihani yetu ukifauli tunakupa chetiKuna kitu kinaitwa RPL, kinaratibiwa na TCU wao wenyewe, unafanyiwa mafunzo fulani na chuo husika yanayohusu kozi unayotaka kusoma kwa muda, kisha TCU wanakupa mtihani kupitia kile chuo, ukifaulu huo mtihani kwa viwango walivyoviweka basi unadahiliwa kuisoma hiyo kozi. Hebu jaribu kufuatilia kwenye website ya TCU kuhusu hiyo RPL utapata mwanga zaidi. (Maelezo yangu yanaweza yasiwe sahihi kwa 100% ila amini niko "relevant" katika hili).
Mkuu kuna RPL level/category tofauti. Ya VETA nafikiri inakuruhusu kuwa certified kwenye mambo yao ya ufundi wakati ya TCU ikifanyika vyuo vilichaguliwa inakuruhusu kudahiliwa usomee degree.Kaka mimi nipo veta, RPL tunairatibu veta na sio TCU yaan kama wewe ni fundi, unajiandikisha then tutakufata ulipo tukupe mitihani yetu ukifauli tunakupa cheti
Watu wengi huamini wanaosona veta ni wale waliofeli. Lakini ukweli ni kwamba ni taasisi ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa. Kiwanda kimoja kinaweza kuwa na electrical engineer mmoja lakini FTC zaidi ya mmoja.Veta sijui kwanini watu wanaidharau.
Veta ni taasisi pekee ambayo asilimia 90 ya wahitimu wamejiajiri au kuajiriwa (Huu ni utafiti wangu binafsi)
Mkuu kuna RPL level/category tofauti. Ya VETA nafikiri inakuruhusu kuwa certified kwenye mambo yao ya ufundi wakati ya TCU ikifanyika vyuo vilichaguliwa inakuruhusu kudahiliwa usomee degree.
Umechambua vizuri sana mkuu. Hawa watunga sera wetu unajiuliza wanapoweka vigezo banifu vya watu kudahiliwa katika taasisi za elimu ya juu ni kwamba hawataki watu wajiendeleze au ni kitu gani! Walianza na kufuta Mature Age Entry ambayo ilikua inawasaidia hata watu amabao walikua hawana ambition ya kuajiriwa na most of them wakijilipia wenyewe! Kuna mambo ya ajabu sanaKama alivyosema ndio walewale kuna RPL na pia kwa sasa kuna Foundation Course ya OUT. Kurudia Diploma maona si ushauri mzuri kwani sijui ukiwa na diploma mbili za course hiyo hiyo inamaanisha nini.
Kuna watanzania wenzetu wameamua kuifanya elimu ya degree kuwa ngumu kupita kiasi kupatikana kwa kuweka vigezo banifu. Kumbuka walianza na GPA ya 3.5 kwa diploma zote wakajishtukia wakashusha hadi GPA 3 lakini afya wakabana 3.5.
Wakapiga rungu jingine-diploma za afya hazina uhusiano wowote na cheti cha advance hivyo kama ndoto yako ilikuwa degree za afya na ukakosa zile point 8 au 6, umepoteza miaka yote miwili ya advance inabidi utegemee cheti cha form 4 tu.
Kumbuka hata dhana na nadharia ya "Chuo Huria" Open University kwa chuo chetu haipo. Sasa Foundation course bila F6 au Diploma haiwezekani, kwa wenzetu (e.g. UK) kinachohitajika ni uwe na umri fulani na nia ya kusoma-unadahiliwa, kazi kwako.
Swali vigezo hivi vinapaisha viwango vya wahitimu wa degree/diploma au vinawanyima watanzania fursa za kujiendeleza.
Mimi najiuliza kama niko ndotoni au vipi, nimeona hizo takwimu na sina jibu. Labda wenzetu kuna wanalolifahamu na sisi hatulijui lakini nasita kuamini kwamba wakiingia hao 350 direct entrants na kuna namba tofauti ya diploma holders -COLLEGE ile haitamudu. Niitwe doubting Thomas lakini nionacho ni kuporomoka kwa quality ya graduates. Hapo hapo BLS intake wametangaza nafasi 300.Swali dogo nje ya mada, mkuu unalizungumziaje ongezeko la udahili kwa chuo kikuu cha Sokoine hasa kwa kozi Veterinary Medicine, kwa mujibu wa admission guidebook ya TCU inaonyesha kwamba mwaka huu watadahili wanafunzi 350, vipi kuna miundombinu kweli toshelezi ?
Najua kwa namna moja au nyingine wewe ni mdau
Mimi najiuliza kama niko ndotoni au vipi, nimeona hizo takwimu na sina jibu. Labda wenzetu kuna wanalolifahamu na sisi hatulijui lakini nasita kuamini kwamba wakiingia hao 350 direct entrants na kuna namba tofauti ya diploma holders -COLLEGE ile haitamudu. Niitwe doubting Thomas lakini nionacho ni kuporomoka kwa quality ya graduates. Hapo hapo BLS intake wametangaza nafasi 300.
Acha tusubiri na tuone, mwaka huu wako kama 88 na ni "mbanano" huko maabara, n.k sasa sijui hiyo 350+. Na muda ni mfupi sana umebaki kabla ya mwaka mpya wa masomo hapo Novemba kuanza, sasa sijui itakuaje.
Ongezeko la ghafla ya udahili hata kama ni kwa nia njema, lakini bila kuendana na miundombinu iliyopo mwisho wa siku ni lazima lita "compromise" ubora wa elimu itolewayo.
Huku UDSM ikipunguza udahili kwa baadhi ya kozi, naona SUA wao wameongeza tena kwa idadi kubwa, hii ni "taa nyekundu" kwa chuo kipya cha kilimo cha Mwl. J.K.Nyerere huko Butiama Mara.