siyo kihivyo mkuu, mie kila siku napanda daladala kwetu tuanita express. Ninachokishuhudia ni baadhi ya madereva kuamua kuhama ruti na kutafuta ruti ya buhongwa kwani mwanzo mwisho ni lami. Watumiaji wa barabara hiyo ninayoizungumzia, watapanda gari labda kama mvua inanyesha, lakini kama pako shwari, mwendo wa gari na mwenda kwa miguu, havitofautiani hata kidogo. gari linaeenda kwa speed labda speed 2, hata tano hawafiki. Hivyo kwa mtu anaeishia kwa msuka, bigbite na contena, anaona bora kutembea kuliko kukaa kwenye gari linalotembea kwa speed ya mwenda kwa miguuu
hapo kwenye kijani sijui wamaanisha nini?
ww utakuwa umetumwa na wana CCM huna lolote,la sivyo ww mgeni na jiji la mwanza, unasema barabara ya kiloleli fupi tu ambayo haina ht km 3 toka kona ya bwiru, wasemeje raia wanaoishi kiseke ppf, km 5 toka njia panda pale 7 7, barabara mbovu haipitiki mvua ikinyesha ndio balaa, tunashuka na kwenda home kwa miguu..
kifupi ni kwamba viongozi wa jiji wanambinu ya kuidhoofisha chadema na wabunge wake katika kutekeleza malengo yao, madiwani ndio wanaokaa na kupitisha maadhimio ya bajeti ya jiji mmbunge yy anashiriki tu bt wenye maamuzi ya mwisho ni madiwani,
pia daladala kuhama route sio coz barabara mbovu, mbona kwenda furahisha, kirumba mpk bwiru ni lami mwanzo mwisho lakini gari zinazoenda huko hazifai, mbovu kupitliza??
kiseke road mbovu ila mbona daladala zinafika, kikubwa ni abiria ndio wanachokiangalia