Wengi wajitokeza kumdhamini prof muhongo mtwara

Wengi wajitokeza kumdhamini prof muhongo mtwara

kumusoma

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
598
Reaction score
926
WENGI WAJITOKEZA MTWARA KUMUDHAMINI PROF MUHONGO:Wazir wa zaman wa nishati na madini ambaye ni mtaalam sn katika fani ya Geology,na ambaye anatajwa kuwa wazir pekee ambaye aliiweza wizara ya madin na nishati ,Prof Muhongo amepata udhamini wa wanachama wengi sana huko mtwara.Prof Muhongo ambaye pia alipata udhamin wa hali ya juu huko Temeke ,Zanzibar na na Pemba ,amekuwa na mvuto mkubwa sana kwa wanachama wengi wa CCM kutokana na mipango yake mizur ya kuondoa umasikin .Muhongo ambaye amengara sana na uwezo wake mkubwa wa kusambaza umeme vijijin ,REA,analiliwa sana na wananch wengi ,kwan pengo lake kwenye wizara ya madini na nishati linaonekana wazi kwani kwa sasa umeme unakatika sana.
 
Ah hahahaaa jamani kumbe Muhoongoo yupo serious,
Hapana, nasema hapana arudishe kwanza noti za ESICUROW
Japokuwa le professeri daktari wa madaktari alisema kuwa fedha sio za umma
 
Ni vigumu kumtuhumu Muhongo kwa pesa za ESCROW kwa sababu ile list ya STANBIC BANK haikutoka. Ile list ingetoka hata watangaza nia wengine usingewasikia,ni shidah?
 
WENGI WAJITOKEZA MTWARA KUMUDHAMINI PROF MUHONGO:Wazir wa zaman wa nishati na madini ambaye ni mtaalam sn katika fani ya Geology,na ambaye anatajwa kuwa wazir pekee ambaye aliiweza wizara ya madin na nishati ,Prof Muhongo amepata udhamini wa wanachama wengi sana huko mtwara.Prof Muhongo ambaye pia alipata udhamin wa hali ya juu huko Temeke ,Zanzibar na na Pemba ,amekuwa na mvuto mkubwa sana kwa wanachama wengi wa CCM kutokana na mipango yake mizur ya kuondoa umasikin .Muhongo ambaye amengara sana na uwezo wake mkubwa wa kusambaza umeme vijijin ,REA,analiliwa sana na wananch wengi ,kwan pengo lake kwenye wizara ya madini na nishati linaonekana wazi kwani kwa sasa umeme unakatika sana.

Mimi nami nasema muhongo nooooo.profesa gani anaona wazungu ndo wenye uwezo pekee wa kuwekeza nchini,tukimpa urais si wazungu watamilikishwa hata dada zetu.hatufai hata kidogo na domo lake chafu.
 
WENGI WAJITOKEZA MTWARA KUMUDHAMINI PROF MUHONGO:Wazir wa zaman wa nishati na madini ambaye ni mtaalam sn katika fani ya Geology,na ambaye anatajwa kuwa wazir pekee ambaye aliiweza wizara ya madin na nishati ,Prof Muhongo amepata udhamini wa wanachama wengi sana huko mtwara.Prof Muhongo ambaye pia alipata udhamin wa hali ya juu huko Temeke ,Zanzibar na na Pemba ,amekuwa na mvuto mkubwa sana kwa wanachama wengi wa CCM kutokana na mipango yake mizur ya kuondoa umasikin .Muhongo ambaye amengara sana na uwezo wake mkubwa wa kusambaza umeme vijijin ,REA,analiliwa sana na wananch wengi ,kwan pengo lake kwenye wizara ya madini na nishati linaonekana wazi kwani kwa sasa umeme unakatika sana.
Hivi kuna uhusiano gani wa Muhongo na Umeme Kukatika katika? Kipindi cha Muhongo ndo umeme umepanda bei na kukatika katika kulikwepo kama kawaida.Tena kuna kipindi ulikatika karibu Tanzania nzima.Nyie mnaomsifia Muhongo jiongezeni katika kufikiria kwa kutumia Akili zaidi
 
Back
Top Bottom