Wenge Musica Vs Extra Musica

Wenge Musica Vs Extra Musica

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
2,073
Reaction score
2,027
Wakuu haya makundi mawili yalipata kutamba sana kwa muziki wao mtamu!hapa nazungumzia Wenge ya JB Mpiana na Extra ya Rogaroga!Je,wewe mdau unalikubali kundi gani zaidi?Mimi binafsi bana Extra Muzika ndo mpango mzima hasa nkisikiliza solo la Rogaroga,atalaku za Kilambongo na keybod ya Kingstal!acha kabisa
 
Kuna Uzi mmoja wa nyuma kidogo ulitolewa na manju mmoja wa hizi mambo.... Jaribu kuutafuta huyo mkuu alifanya analysis nzuri sana ya haya makundi. Ni Kama anawajua personally.
 
Kwangu mimi wenge ni khabari nyingine siwezi kuwa fananisha na extra toka zile Fred Nelson sijui willy Muntu mpaka ulbum ya pentagon pale walifunga kazi hapa jojo ngonda pale etete buengo kule no comment shenghan aah ilikuwa burdan ingawa walikuja kutengana baada ya ulbum ya jb ya ndombolo ya solo iliyokuwa na vibao mwanana kama conseil patcho bana lunda cavallier solitaire masuwa fuex del amour ilikuwa balaa kisha jb na akina mpera wakabaki na bcbg na kutoa titanic humo kuna Omba likala moto ah basi bana wacha niishie hapo sijataja grace toi de Germany wala 48haullier gecoco yule jb anajua kulalamika jamani ngoja wadau wenyewe waje hapa hasa roga roga mimi ni mwanafunzi kwake tena chekechea.
 
Kwangu mimi wenge ni khabari nyingine siwezi kuwa fananisha na extra toka zile Fred Nelson sijui willy Muntu mpaka ulbum ya pentagon pale walifunga kazi hapa jojo ngonda pale etete buengo kule no comment shenghan aah ilikuwa burdan ingawa walikuja kutengana baada ya ulbum ya jb ya ndombolo ya solo iliyokuwa na vibao mwanana kama conseil patcho bana lunda cavallier solitaire masuwa fuex del amour ilikuwa balaa kisha jb na akina mpera wakabaki na bcbg na kutoa titanic humo kuna Omba likala moto ah basi bana wacha niishie hapo sijataja grace toi de Germany wala 48haullier gecoco yule jb anajua kulalamika jamani ngoja wadau wenyewe waje hapa hasa roga roga mimi ni mwanafunzi kwake tena chekechea.
Hadi leo wadau hawajatokea. Pole!
 
Nakubali sana Extra Musica - Losambo Roga Roga Daaah nakumbuka 90's.
 
Extra musica, wale jamaa kwa kweli walitisha...vile vinanda ni hatari...

Atalaku, master mwenyewe Kila Mbongo...aisee...ilikuwa ni habar nyingine...
 
Back
Top Bottom