Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Wema mjamzito.
Tena aliitega mimba kwa kuinua miguu kwenye kamba masaa 12
Shida na utata itakua kwenye kujua mtoto wa nani.
Natamani tubet.

Ushindweeeeeeeeee! Nafuta na kukemea maneno yako kabisaaaa. Wema asiwe tu boya kiasi hikiii, Eee Mola muepushe kiume wako, akizalishwa kwao, watamla nyama INSTAGRAM, kama nawaona watakavo kitukana kitoto.Kitafichwa kama cha Anti. Eee Mola ziwe tetesi tu isiwe kweli.
 
Mhhh lara wewe mbna kama umehamia mlengo wa kushoto,not ur stylee at alllll hahahah
She is smart though.. amegundua huu uzi unampunguzia popularity na fans humu JF maana uzi wote hakuna anayemsupport kila mtu anampinga!!! So dizaini amenyoosha mikono na kusalimu amri kwa maneno ya kiutu uzima, si unajua lara 1 has a big ego, so ameshindwa tu kusema openly “..jamani nimeshindwa, naomba mnisamehe.!”
 
WALIZAA NA MIAKA MINGAPI? Hao wote wamzee above 30S HUKO NA WOTE WAMEZAA BAADA YA KUOLEWA. Mbona unataka kumponza Wema lakini?

Wema anawachezesha kwata tu, kaona hii post anawatia ndimu mtu ili mchachuke sanaa hususai bibi yenu.
Usicompare maisha ya Kna Kim na wema aise, level tofauti sanaa,na hata culture pia,wazungu waliberali sana hata kama una historia chafu,hii Africa mama,
 
Watoto wenu 12 yrs wana vibwana, afu Wema 27 ndo asi date nani kasemaaaa? Mnacha kukomesha wabemendaji mnakalia vitu amabavyo nyie mnafanyaaa, mimi pia nafanya, dada zenu wana fanya. Tuache unafki NANI ASIE DATE HUMU? Au mdate nyie tu, akidate Wema issue.
Kama tuna date, kuzaa tuna zaa, kwanini yeye asizae, kama shida kufanya wanayofanya wengine.
 
She is smart though.. amegundua huu uzi unampunguzia popularity na fans humu JF maana uzi wote hakuna anayemsupport kila mtu anampinga!!! So dizaini amenyoosha mikono na kusalimu amri kwa maneno ya kiutu uzima, si unajua lara 1 has a big ego, so ameshindwa tu kusema openly “..jamani nimeshindwa, naomba mnisamehe.!”

Aaah wapi. mimi team Mange, tunaendga mpaka quote 400 huko, hawa kina Miss Lincon, Evelyn Salt, Badibebey wananielewa fikaa, UBISHANI UNAKAAGA SIKU HATA 6.

Sema tu ITANIFAA NINI IKIWA NIKASHINDA WAKAT WATU WENGINE NIMEWPONDA PONDA MIOYO YAO?WAKASONONEKA, NA MUNGU AKASIKIA SONONEKO ZAO! Washaanz PM kuni laani.

ILA MKINIFOSI , NA KUNILAZIMISHA KABISAA KABISAAA, KWA MATAKWA YENUUU YA KINYUME NA MATAKWA YANGU NA BAADHA YENU WANAOGUSWA NA MASCADI YANGU, NIENDELEE, BASI ITANILAZIMU MTUMISHI WA WEMA NIENDELEE KUGAWA DOZI, ILA TU LAANA MTAZIBEBA NYIE.
 
HAHAHAHAAAAAAAAAAAA! Kiukweli hii taarifa nilitegema itanifurahisha ila imenisikitisha. Nakuombea heri lakini mwaka hu haushi.
Ahhhh ukizingatia ndo January Mungu atatenda miujizaaaa by December, haleluyaaa ameeen
Na kwako pia Ameeen
 
SI TATIZOOOO, NDO MAANA NIMESIFIA NI MAMBA YETUUU WANAWAKE KWENYE KUZAAA. Aongeze hata 10, nchi huru hiii lakini sio kumsakama binti mdogo, hajaolewa yupo kwao azae. NDO MAADILI GANI HAYO SASA? NDO DINI ZINAVOTAKA HIVO MTU AZAE HOVYO HOVYO?
Yupo kwao??
 
Aaah wapi. mimi team Mange, tunaendga mpaka quote 400 huko, hawa kina Miss Lincon, Evelyn Salt, Badibebey wananielewa fikaa, UBISHANI UNAKAAGA SIKU HATA 6.

Sema tu ITANIFAA NINI IKIWA NIKASHINDA WAKAT WATU WENGINE NIMEWPONDA PONDA MIOYO YAO?WAKASONONEKA, NA MUNGU AKASIKIA SONONEKO ZAO! Washaanz PM kuni laani.

ILA MKINIFOSI , NA KUNILAZIMISHA KABISAA KABISAAA, KWA MATAKWA YENUUU YA KINYUME NA MATAKWA YANGU NA BAADHA YENU WANAOGUSWA NA MASCADI YANGU, NIENDELEE, BASI ITANILAZIMU MTUMISHI WA WEMA NIENDELEE KUGAWA DOZI, ILA TU LAANA MTAZIBEBA NYIE.
Hahaha we nae cha ubishiiii utadhani umesomea,yani unakaziaa point weeeee,unaboaaaa
Heheheh utarudi kunichamba eti nna KiRanga hahahahah loh I missed Jf kwa kwel
 
Kama tuna date, kuzaa tuna zaa, kwanini yeye asizae, kama shida kufanya wanayofanya wengine.
Nyie mna zaa KIMAKOSA sasa. Maana si mnajua tena Vitabu vilivosemaaaa. Kudate dhambi inaishia kwako,ukitoa mimba dhambi inaishia kwako, ukizaa IMAHAMIA KIZAZI KINGINEEEEEEEE. Sasa yule anaezaliwa hana kosa, wala mchango kwenye blander zakooooo. Anakuja kupata tabu tu, kuuliza mbona baba hayupo? Baba yangu nani? Mbona hatushi na baba kama watoto wengine? Mnanichokoza wenyewe lakini, nikisemaa mnakimbilia kunilaani. Oooooh!
 
Hivi tatizo ni kuzaa au kulea, maana kama ni kuzaa hata wema keshazaa maana keshawahi kutoa mimba na tendo la kutoa mimba ya miezi 3 - 7 ni kuzaa kabisa eti @lala1 ???????
 
Ushindweeeeeeeeee! Nafuta na kukemea maneno yako kabisaaaa. Wema asiwe tu boya kiasi hikiii, Eee Mola muepushe kiume wako, akizalishwa kwao, watamla nyama INSTAGRAM, kama nawaona watakavo kitukana kitoto.Kitafichwa kama cha Anti. Eee Mola ziwe tetesi tu isiwe kweli.
Nimecheka sana!!
Ha ha ha...wallahi andaa ndimu, Wema ana kimimba.
 
Hivi huwa kuna mtoto haramu....kuna muda watu wanakua na maneno makali humu ndani mtoto haramu anakuaje au anazaliwa n nani....mke wng aite mtoto wangu haramu ataenda kwao hata kma saa 9 ucku na talaka ya jumla manina zake
 
Kumbe JF nako kuna upumbavu wa dizaini hii, hivi unawezaje kuanzisha Uzi wa kipumbavu tena ya sijui instagram na inayohusu personal life asiekuwa na funzo lolote kwa jamii, leteni mada za maana bhana
 
Sijahama wala nini, tatizo kuna mtu kani PM kimuuma sanaaa KUMUITA MWANAE MWANA HARAMU. Yeye anampenda sanaa, na sio kosa lake kama baba mtu lafa tu, hamtaki mtoto, na ndoa, mwanae kwake ni kila kitu. na mambo kibaoooooooo. Roho imeniuma sanaaaa. Kanilaani humo humo na mimi nizae mwanamharamu ili niongee vizuri. TOBAAAAAAAAAAAA! ndo nikaona ya nini? Mi nilikuwa nachangamsha genge tu hapa.

LAANA za nini wajameniii. WEWE NDO UMENIPONZAA. Kuchamba tunachamba wote kulaaniwa nalaaniwa peke yangu. Hahahaaaaa! Bwawa lishaingia ruba mi namchamba Omukwano watu wanachukulia personal! Ngoja nikimbie kabla laana hazijazidi.
Makubwaaaaa....mhhh unachambaa na wewe hadi wanakufata PM haha,af una maneno makaliii loh sikuweziii,punguzaa
 
Hahaha we nae cha ubishiiii utadhani umesomea,yani unakaziaa point weeeee,unaboaaaa
Heheheh utarudi kunichamba eti nna KiRanga hahahahah loh I missed Jf kwa kwel

Hahahaaaaaaaaa! Ningekuchamba la naogopa utanilaani,
 
Na hyo ni moja aliyotamka wazi, je alizozificha ni ngap? Msichana gan huna hata aibu unajitangaza umetoa mimba? Shame on her
miss tz anajitangazia ametoa mimba? kuna mambo inatakiwa yawe siri kwani hayafundishi kitu kwa jamii. huyu lazima atakuwa na element za ukichaa.
'when the mind suffers the body cries out'
 
Back
Top Bottom