Wekundu Tunatia Huruma sana

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,156
13,258
mgosi+pic.jpg
 
Ligi ishamalizika. Hatutii tena huruma. Kinachopaswa sasa hivi ni kupanga mikakati ya kufanya vema msimu ujao.
 
Kiukweli hata mimi nawahurumia, ila nimesikia ndondo cup inaanza komaeni mchukue msikubali msimu mzima mtoke mikono mitupu
 
Inakatisha tamaa nimesikiliza habari ya michezo itv saa hizi eti pesa za okwi hazifikii hata robo ya deni la hanspope kuidai simba
 
Inakatisha tamaa nimesikiliza habari ya michezo itv saa hizi eti pesa za okwi hazifikii hata robo ya deni la hanspope kuidai simba
kuna ukweli kabisa hebu fikiria watazamaji wale wa buku tano na timu inaka kambni etc watu wanajitoa sana acha tu ukiwa piga domo utasema wanapiga hela
 
Na kaongezea hanspope kusema simba haina pesa kwa sasa ndiyo maana hadai pesa zake ila ikifikia kuwa na pesa simba ndiyo atadai pesa zake
 
Na kaongezea hanspope kusema simba haina pesa kwa sasa ndiyo maana hadai pesa zake ila ikifikia kuwa na pesa simba ndiyo atadai pesa zake
maana yake akijitokeza mwenye hisa atadai chake asepe kwa kuwa anapenda aendelee ila nguvu za MO zinaonekana kumzidia
 
Back
Top Bottom