Bank takataka hii, mimi huwa nachukulia mshahara, yaani ukiiingia tu naenda kutoa wooote napeleka crdb au bank ya posta. wanaiba hela hawa, system yao ni mbovu ktk ATM wanaongoza kuibiwa na ukienda pale wanakwambia ni kosa lako mteja. juzi nimetoa hela kwa nmb mobile haijafika siku mbili, kama unakaa mbali unataka kutmia NMB mobile mwisho wao ni ijumaa, hapo utaipata hadi jumatatu asubuhi, weekend haifanyi kazi ukitoa hela kama ulikuwa na haraka utaipata jumatatu ukishaenda mjini. bank ni bank ya posta na crdb na nyingine kwa hizo za kibongo.