Hahahahaha apige tu maana,naumwa leo nimeshindwa kutoka na baby,nimemruhusu kwa masharti ya kuwahi kurudi,sasa kama anafanya ndivyo sivyo mzigua akipigana kwa niaba yangu sio vibaya.
Na mwingine kanikuta kweny uzi gani sijui uko,ananiambia nilikua nakuona una heshima kumbe unadanga hadi makaburini unajitangaza kabisa kwenye nyuzi za watu
Nakupenda kwa kuwa hujawahi nitoa kasoro,bwana akuzidishie moyo wa uvumilivu.Kijana mwema sana wewe,hujaona sura ya baba,ndo kwanza unaniita malkia,the cutest,one and only,i love u so much baby
Na mwingine kanikuta kweny uzi gani sijui uko,ananiambia nilikua nakuona una heshima kumbe unadanga hadi makaburini unajitangaza kabisa kwenye nyuzi za watu
Nakupenda kwa kuwa hujawahi nitoa kasoro,bwana akuzidishie moyo wa uvumilivu.Kijana mwema sana wewe,hujaona sura ya baba,ndo kwanza unaniita malkia,the cutest,one and only,i love u so much baby