Shemeji umeanza jamani me sipendi hivyo
niweke makazi ya kudumu Green Lounge, mpk nimjue Mzigua90Pale Sinza Green Lounge hiyo hela napata heineken 12
Hivi Shualina hapo ulikuwa wapi kwenye avatar? Mugongo mugongo baby...
Anataka kukaba kote.Mkuu naomba upambane na black american babes huko hawa wa kibongo tuachie ndugu zako
Mzigua90 we sio Wa kunirusha roho namna hii, figure yako imetulia, ngozi nyororo, nyama zipo, sina shaka na chura. Nakuelewa sana mziguaNi kweli
Hahah haya maneno tu white pleaseHapana jamani ushaanza nitisha humfai mdogo wangu
Nani huyo mkuuShem kuna mdau namuona anakunyemelea toka muda mrefu sana.
And you do it like you like to hurt meUtaniharibia bwana. Wanajuaga we hapo bby sasa akikuona hapa watajua umekuja kulinda mali zako.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kila mtu apambane na hali yake etiii
Naona navyoibiwa ujueShemeji umeanza jamani me sipendi hivyo
Naomba ufute hili neno kwa ur mind....
Shemeji mpaka nimejisikia vibaya ulivyoongea hivi kiukweli moyo wangu umeumia aisee wakunyumba shemeji anakupenda kiukweliAnd you do it like you like to hurt me
Is this what you need to feel better?
Is this how you act when you know we're forever?
Maneno bila pesa ni makeleleHahah haya maneno tu white please
Unaibiwaje shemeji nipo mm labda nisiwepoNaona navyoibiwa ujue
Acha nilie to shemShemeji mpaka nimejisikia vibaya ulivyoongea hivi kiukweli moyo wangu umeumia aisee wakunyumba shemeji anakupenda kiukweli
Unaniumiza na mm shemeji nilijua utani kumbe upo serious kuhusu mziguaAcha nilie to shem
ShemUnaibiwaje shemeji nipo mm labda nisiwepo
Naanzaje kutania shem nlivokolea kwa penz la mtoto wa kitangaUnaniumiza na mm shemeji nilijua utani kumbe upo serious kuhusu mzigua
Shemeji basi inatoshaShem
Sadly same mzigua90 who put tears in my eyes
Is the same one there when they dry. Daaaa mapenz hayaaaaa.