Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Oct 29, 2010 #1 Leo ni weekend ya mwisho kabla ya kung'oka rasmi kwa CCM
Iza JF-Expert Member Jan 8, 2009 2,026 611 Oct 29, 2010 #2 Mungu katupa nafasi ya kuchagua...tusijemlaumu kwa umaskini wetu miaka 5 ijayo... Mabadiliko yana siku 3 yaanze...
Mungu katupa nafasi ya kuchagua...tusijemlaumu kwa umaskini wetu miaka 5 ijayo... Mabadiliko yana siku 3 yaanze...
Z zenomanjulungu New Member Oct 29, 2010 1 0 Oct 29, 2010 #6 Watanzania tusidanganyike 2010,Tz bila CCM inawezekana hebu tuwajaribu hao wengine tuone watatufanyia nini???.
Watanzania tusidanganyike 2010,Tz bila CCM inawezekana hebu tuwajaribu hao wengine tuone watatufanyia nini???.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Oct 29, 2010 Thread starter #8 tupate hizi kwa sasa