Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

The Fratenity Of Men!

Tukio la Nadya design lilikuwa lakufunga mwaka! It was simply unexplainable, the shit was deep. Binafsi nililaumu mke wangu kwa kujitia match maker. Nilimwambia hayo mambo ya match making siatakiiii tenaaa. The shit was savage even for me man! Kujitoa lawama sisi kama wanaume rijali na kuonesha hatukufurahishwa na lile tukio, nikaanda tu trip ya wanume tupu kuja Arusha kumfariji wenzetu.

Waziri huwaga yuko abscent na matukio mengi ila hili alikuwepo bega kwa bega. Rich nae mzitooo ila alikujaaa. Jimmy cousin wake nae alikuja. Na wana wana wengine tu walidandia juu juu mradi tu kutakuwa na bia za buree, malaya wa kutoshaaa, unaachaje kuja kwa mfanooo kujipoza nafsiii.

Lengo lilikuwa sio kuja kumpa pole kama mambo ya kikeeee kupeana vitenge, lengo lilikuwa kuja kula nae bata non stop kama siku 3 hiviii mpaka aone ni mamb ya kimaku tu. Mkwe wangu Vivi ananiaga na maombi kibaooo. Na sikuondoka na gari, nili chebeka na STJ la waziriii. Lengo la kuchebeka ni pamoja na kutaka kujifanyia siasa zangu za hapa na pale kwa mzee baba kwenye miradi miradi ya huko wizaranii. Tukipendeza mtu bwana hakukataliii jambo.

Kwenye gari akaniambia Monica wants to have a baby na sio baby yoyote anataka mtoto wa kike kwa gharama yoyote. Anataka planned kabisaa ikwezekana apate twin girls. Yeye hadhani kama ni wazo la sahihi sababu anaona Monica has issues with his son, sasa badala afanyie kazi hio changamoto na kuweka hilo swala sawa kwanza anakimbilia kuzaa mtoto wa kike kama backup plan incase her eelation with her son detoriarates. Sasa as a mom haitakiwi kuwa na back up plans dhidi ya mwanao. Anavowaza girls are easy to manage, na wanajali mama zao, anana akibakia tu na huyu wakiume ataishia pabaya.

Nikamwambia mwenyewe na kimbeme Vivi anataka mtoto wa kiumeee balaa. Angekuwa anataka mtoto as mtoto maybe ninge consider kulegeza masharti ila hayo y mtoto wa kiume ndo siyataki. Akija wa kike tena je? Si ndo mwanzo wa kukufuru na kumchukia mtoto. Na majaribioa yataendelea mpaka mitoto itakuwa mingi maisha ya kuwapa hamna, ukapata huyo wa kiume akawa shoga vile vie ukajikuta umekosa vyote. Navokwambia mheshimiwa nimeenad kufanya vasectomy kimya kimya. Wanawake sio wa ku reason nao, watakuhadaa a kufosi kingi ukajikuta mipango yako imepinduka. Kama utaki mtoto na Monica fanya vasectomy. Mimi namchora tu na mipango yake ya mtoto wa kiumee.

Waziri akachomekea ila yule mtoto Nadya balaa kweli. Jeuri jeuriii lakini analipa afu ana mitego mitego flani amaizing. Namchoraga tu sema hanaga njaa au kama ana njaa jeuriiiii anaifichaaa. Nikamwambia mheshiwa umemuonaaaaa! Mheshimiwa akachomekea mtoto yule anakutaka Afandeee, nimemuona mara kibaooo ana kukodolea mijichooo yaani ana kuhamuuu waziiii waziiiii.

Iiiiiiiiiiiiii! Nikamwambia mheshimiwa umemuonaaaa kumbeeee! Mi namtizama mudaaa ananitega teagaa wenyewe, ananionaaa mimi falaaaa wa mwishooo navojikaushaaa. Bahatiii yake mke wangu shoga ake ilw ningemfumuaaa papuchi ile aache na umalaya atafute mume aolewe atulie. Mi namchukulia poa for the sake of my wife and we live in civilized times lasivooo ningepita naeeee mchana kweupeeeee.

Ila kweli Nadya ana majaribuuu makubwa afu nachowashangaa wake zetu kwanini wanatuletea kisawishi kama kile? We toto lile halina mume wa bwana, afu peaa tunazo mnategemea tufanyaje zaidi ya kujiseviaaa? Kuna kipindi mkewanu alisafiri akaona mtu wa kumuachia watoto ni Nadya, kweli Nadya hajazaa ila malezi anayajua sanaa sijui sababu kalea wadogo zake sanaa. Bas qife kaenda semiar nww york kwa kina Melinda Gates, ndani kaniachia gomaa lile Nadya. Aaaaaaah! Aaaaaah! Sabuniii ilinikomajeeee.

Linakaa sebuleni kihasara hasara mamaeeee. Mke yuko mbali, aiseeee, nikahisi labda Vivi kamlea wananichezea chezoo. Nilijikazaaa kinomaaa mpaka wife kurudi nikasema kweli nimekuaaaa.

Mheshimiwa akasema bwanaaa mimi majaribu hayo yaliikuta kwa mdogo wake wifeee! Tena sasa mi nimejikaushaaaa, siku nimelala mlango wazi nastukaaa huyu hapaaa kitandaniii uchiiii, ananila mateee. Nikasema balaaa. Nikajikazaaa na kumponyokaaa pale chumbani na kwenda kulala guest room. Basi kesho nimeondoka sijarudi mpaa wife karudi nikazua ziara ya ghaflaaa tena nazilipia Media zinitoe taarifa ya habariii. Aaaaaah! Ilikuwa balaaaa! Wife akampelekaga ulaya ndo nika relax kodogo.

Nikamwambia mimi Nadya angefkia level hizo ingekuwa tu PENALTY ningepita naeee *****. Safari nzima ni mwendo wa kuongelea wanaqake na kunywa biaaa. Na dereva nae yumooo. Anachombezaaa story za mjini baasi. Tukaingia Arusha, mheshimiwa akaniambia bwana tupoe wote hapa ngurudoto, kama vipi chama la wanaaa liwe hapaaa, all bills on me za vyumba na biaaa, na makulajiii. Nikaona faida ya mke wangu kuwa na marafii kama hawaaa.

Tukawasilian na kutua pale. Jimmy sasa utasema boss yeye. Kaagiza mbui 3 zichomwe kwa ajili yetuuu. Jimmy mtu wa Arusha, kaita wanae kibaooo. Na Leo nae akaja, hakuelewa kwanini chama liko pae, na hakujali wala nini. Semaalikuwa down sanaaa. I could tell anailazimisha furahaaa. Badala ya kumfariji muhanga tukawa tunajifariji wenyewe.

Huku na huku nikakutana na mdada wa makamo yangu 35 flani kishkajk, yuko seina hapo hapo hotelini. Nikamchomekea aje kwenye barbecue, na pete langu kubwaa, nafanya kuongezewa gram kila mwaka liwekubwa zaidiii lionekane mita 100. Kaja barbacue pale swali la kwanza kanitwangaa are you married? Nikavua pete ki silencer mfukoni humo humo na kusema No. Nikajua lazima atataka kuona kidole. Nikcheza kama pele. Jimmy mtu wa kutupia ana mipetee kibao. Nikamwambia mrembo nakuja. Nikaenda kumpora Jimmy pete la kipapaaa. Jimmy ananiambia grm 30 hio pete T ***** ikipotea utanibebaa. Niamwambia tuliaaa.

Kidole cha pete nimevaa ule mpete wa Jimmy. Nikaanza kuweka kono juu juu alione halina peteee.Aka relax maninaaa leo nambinuaaa mpaka ataisoma nambaaa. Namwambia mimi niko jeshini UN, duty station Dafur. Demu akapagawaaa. Ujeda bwana pamojaa na yote unakupatia sanaa wanawake sijui kwa nini. Dada kusikia harufu ya $$$ akalowa chupi mwenyewe.

Mara paaap Leo huyu hapa, majua kama msngery huyu mseminari, nkamvuta chembaa kabla hajanitibliaaa. Kama nilijua akaaanza why T? Una mke mzuriii, anakupenda kufa why? Nikachenjia tulizaa kendee mtoto wa kiumeee,alikwambia mke wangu simpendi nani? Namna hio utakuwa hupatiii mke mdau. Hapa Arusha baridi and there is no way i am going to bed alone. Isitoshe kuna mambo mkeo hawezi kukutimiza katika tasnia hiii. Ni mambo ya kufanya na kufanyiwa na wanawake wa nje tu. Naku apia wote sisi kila mtu atachepukaaa. Sasa badla ya kujitia kiranja wa wake zetu, jiongeze uondoe na mlupo wowote hapa. Mi nina kazi ya kumtomba mtu kule usinigandeee.

Nikarudi kwa mremboo. Na kumuuliza unafanya nini? Akasema yeye ni muandishi wa habari. Roho ikafanyaaaa paaah! Wa shigongo nini? Ila ijue nguvu ya boloyank nika kaza roho, wa wapi? Wa BBC. Duty station Lagos, kaja tu likizooo. Nikasema naaaaam. Story, story nikamwambia tuhamie chumbani kunywa hizi bia, hapa mbu sanaa afu baridiii. Akakubaliii.

Mda huo nikaona watu wote wana michepuko kasoro Rich na waziri. Rich waa broke, so sikushangaaa ila waziriii ndo nikawa impressed maybe it was time to retire. Nimeingia nae chumbani siumkawizaa, mke wangu namjuaaa, atataka video call usiku kuchaaa. Hapa cha kufanya ni kumla style ya Voda fastaa tu. Nimwfika kule sijamkawizaa, na condom nilinnua moshi mjini kabisaa.

Hawa wa nje nina mambo yangu amaizing nayatakaga ambayo mke wangu nae nina mambo yake namfanyia yeye tu siwezi kumfanyia mtu mwingiñeee. Huyu muandishi kufika kwanza nikamchomolea boloyanki kwanza aangaike nalo kabla ya yote, hapo nimejitegeaha kusikiza utamuu mpaka wa nyayo. Dada yumooo, aaaaaaaah mashine anaidumbukizaa nzima nzimaaa, deep throat.

Nikamuhamishia bafuni, analalamika lace wig, nikamwambia njoo shower wewe pesa yote a BBC utanunua jipya. Nikafungulia maj kwanza baridii na A town baridiii napo. Utapoaaa tu, hakuna kujilegezaaa. Sikutaka kumpa mate wala nini ndo mwanz wa kufall in love. Nikamdaka matiti tu na kuhangaika nayo. Kwa mke wangu katu katu asilaniii hunikutiiii nikilalamika sijui kujilegez shhhhhhhh, aaaah thubutuuuu ila huku sijibaniiiii kabisaaa. Nalamika kwa raha zanguuu zoteeee. Niiguswa sehemu nikagusikaaa, nalamikaaa mpaka baasi. Reporter akadataaa.

Akalegea kama nyanya anasea baby twende chumbaniiii. Nikamwambia shikk sink la kuswakia hilooo, chumbani tukafanye nini? Nikafata condom sipitagi peku hata siku mooa pamoja a vasectomy ila wajeda wengi wamepukutika na ukimwiiii. Nakurudi nikamkuta bado anangaa sharubu, nikamshikiaha sink kwanza kwa kumbembelezaaa, akashika sink. Niampiga doggy style ile ya fastaa fastaaa,,fastaaa, akaanza kupiga yowe. Pozi la sink nilikuwa nampiga angle ya hatariiiii. Makelele kibaooo yakanifanyaa nikojoe fastaaa. Ukipiga ngachuriii afu ikawa inakupa ushirikiano wa namna hio inakuwa safiiii sanaaa. Tukaoga fasta fastanikamwambia turud kwenye barbecue, akasema anaenda kutoa wig mjini limelowa hawezi kulala.

Nikatoka mwepesiiii, hata baridi ya chuga siisikiii. Nikakumbuka chaji yangu iko kwa waziri, nikasema nipite niichukue. Nafungua mango hivi nakuta mtoto wa kiarabu kaukaliaa mpini wa Mheshimiwaa. Maninaaaa! Kumbe mheshiiwa yeye analetewa zigooo lishaambiwa kila kitu anachinjaaa tu. Maninaa. Niafunga mlango taratibuu hata hawakunionaaa.

Kurudi nje namkuta Jimmy na mshikaji wake wanaishawishi ngachuri moja wakaipige mtungooo, wapige collabo mwanamke mmoja wanaume wawili. Ngachuri pesa inataka ila inaingia wasiwasi kama itaweza so io ya kibab. Kuniona Jimmy akaniuliza tukuunge iwe 4 some. Nikamkatalia uhoga huooo. Laba 4 some iwe mimi na wanawake wa 3 sio kuona tigo za wanaume wenznanu shetani anaqeza kunipitia niakosea bureee. Huku na uku demu kaingia kingi. Wakazama nae chumbani.

Nikabaki mimi na broke nigga Rich, na Leo. Sasa kuna mdada kama 30 hivi akawa anamtolea macho Leo. Nikamwambia Leo demu kakuelewa yuleee. Leo aanza ooh mi situmiii wanawake. Nikamwambia wogaaa huooo. Kama unamuogopa mi naenda kukutongozea, we ukachinj tu nalo pia likikushinda we utakuwa hanisi. Nikamfata yule dada akajaa akijua mi no namtak kumwambia rafiki yangu akawa design hana msisimko akasema mi nakutaka wewe na nilikuwa nakuangalia wewe. Ikabidi nicheze kama pele. Mi nina mke. Nikavua pete la Jimmy na kumuonesha alama ya pete kidolenii. Akuliza kwani yule hajaoa? Nikamwambia bado kabisaa. Akadataaa alikuwa anasaka mume huyuuu. Akamfata leo, ambae hana mood. Dada lubaaa Leo akaingia kingiii.

Nimekaa na Rich saa 5 nikaingia room ku skype a wife mpaka saa 8. Nimeongea na wanangu wee na mama yao. Hapo mwepesii. Nikalala fofooo. Asubuhi nikawahi town kununua simu na line ili yule manzi akinimba namba niwe nayo standby. Jana sikuchukua. Leo jioni akaja kunigongea, nikamwambia niache nilale kidogo naumwa kichwa nipe room yako nitaibuka. Akaniambia.

Ni kamskype wife saa moja hio hio hakupokea. Nikapiga kwa dada akasema mama hayupo ana kikao atachelewa, nikasema tiketi ndo hii. Nikaongea na wanangu fasta fasta. Nikamtumia sms huna adabu wewe mwanamke, unajua sipo unachelewa kurudi wanangu wanashinda wenyewe. NIMEKSIRIKA MNOO MNOO. Nikazima simu. Kuzua tu ugomvi.

Huyo nikajikokota room ya mrembo, na box langu la condom. Nimeingia mrembo alikuwa analia sijui alijua siji maskini. Nikamfata na kumkumbatiaaa, nimevuaa nguo zoote kabisaa. Nikamuamshia mambooo kabisaaa. Huku na huku sijamkawiza nikampelekea mashineee. Ile ya fujooo fastaaa fastaaa. Goli moja tu kwa siku linanitosha uwanja wa ugenini.

Nikamwambia lets go clubbing. Hapo hapo hotelini. Nje Leo huyu hapa anataka double date nikagoma apambane na hali yake. Namjua lazima atasema Vivi. Bora Richa mara mia. Nikawa namfunga kamba mrembooo wa watu. Niko club nikafatwa na jimy, sikustuka sanaa maana Jimmy hana akili vizuriii. Akaniambia kuna tatizo kubwaaa.

Kutoka nje akaniabia RICH KANYWA SUMU JIONI HII TUMEMKIMBIZA HOSPITALI SASA INABIDI TWENDE TUKASIKIZIE. Nikamuaga mrembo pale, na kukimbia mount Meru na Jimmy. Uzuri mheshimiwa alikuwepo pale akapatiwa huduma fast fasta wakamuwahii. Siuelewakwa nini? Kikubwa akatuomba we tu man to man tusiwaambie wake zetu. Nikawaza nitaweza kweli, ila nikasema nitajitahidi. Kikakaa kikao cha dharura kesho tugukee mapemaaa tukamkabidhi kwa mkewe.

Aliacha barua Rich, ambayo alichukua jimmy maana Jimmy ndo wa kwanza kumkuta baada ya kutomuna nje akamfata ndani. Jimy akasema kampa Faza Leo. Faza hataki kutupa tupate ubuyuu vizuriii. Kagoma mpaka mwisho. Leo akakubali kuja awe ana mcouncel Rich huku Dar. Tuko njiani nakumbuka pete ya ndoaa. Mfukoni haipooo. Nikamwaga bag zimahamaaa. Niliitafuta ,paka kwapani pete haipooo. Chupi ikanibanaaa yule mwanamke yuleeee atankata kende hizi aziunge mboga.

Nikawaza nikachonge mpyaaa, ile Gold ya Russia iko engraved bongo siwezi pata atastkaaa tu maana craft ,na ship yake sio ya kitoto.Alioda mwenyewe onlinee na ilikuwa ya pesa ndefuuu. Na hata kuziongeza gram anazitumaga Russia.

Nikaingia online kufanya enquary as if nimepew reference na mteja wao Tyrone nataka pete kama ya Tyrone na address yake wanipe last edition copy. Wakajibu hawawezi sababu ilikwa personally customized na mkewe, so customized editions ni limited editions. Matatizo ya Rich nliona ni madogo. Namjua yule mwanamke. Atajua in 2 minutes.

Nimefika tu, to save my sorry ass and buy time nikajiwahi RICH KANYWA SUMU you wont belive it. Akastukaaaa. Story ikawa hio sasa. Nikampiga bitiii kali asimwambie mtu haswaa Dr. Stella. Nikiwa najinyea nyea sebleni Leo akagonga akaniita nje, akaniabia mzigo wako uliudondosha garden. Daaaah! Pete ile kumbe aliiokota huy hanisi. Nakunya kunya kwenye gari kauchuna kimyaaa kunipima oil na kuninyosoa at the same time. Furaha yake nikamwambia i owe you one nitakurudiaha kwa Nadya. Kwanni niliroka hivo sijui ila ahadi ndo deni hivoo.

Nikarudi ndani kwa confidence za hatariiii. Na kufufua ugomvi wa kwa nini mimi sipo achelewe kurudi? Hapo simu nilimuachia muhudumj kama tip, line ya mauaji nisha i flash chooni mtaniambia nini ndugu wasomaji

ITAENDELEA 2018
 
Rich kunywa sumuuu mimi ndo wa kulaumiwaa wa kwanza. Manake tanfia amefika ananiambia Faza niungamishee niungamisheee. Namkatalia bwanaa mimi sio Faza ujue. Mimi niliishia ushemasi na isitoahe sahivi mimi na wewe bora hata wewe kwa dhambi za mwendo kasi nazotendaaa. Anajieleza fanya uniungamishe hata kimachale machale hivo sio sawa na kutokuungama kabisaa. Inshort niliona anazinguaaa.

Basi siku ya tukioa akaja kuniambia faza bwana hili file naomba ukae nalo utalikabidhi siku ya alhamisi kwa mwanasheria wangu. Nikamwambia mimi sina mpango wa kurudi dar leo wala kesho. Akasema haina shida talifata Arusha nitamtaarifu unalo wewe. Nikamwambia nitalichukua kesho.

Ndo kunywa sumu sasa, kaacha lile file palw juu kalifunga vizuriii na bahasha juu kaandika Padre Leonard. Ndo maana Jimmy alinipa mimi moja kwa moja. Huo upadre vipiii jamaniii. Nimekuja kufungua nasomaa ulikiwa ni wosia tu wa mali zake.

Na kikubwa cha kumpa mwanasheria ni sababu kawaandikia mirathi wale watoto wake wa nje pia, vitu ambavo kachuma na Stella pia. Wanaume sisi jamaniii. Alivowahiwa ikawa heriii. Akaagiza mimi ndo nipelekwe azungumze na mimi. Kangangania father father. Kwa akili zake i am closer to God. Angejuaaaa.

Nikawa nazungumza nae ki father maana ndo ashangangania father father nifanyaje ndugu wasomajiii? Basi ananieleza matatizo yake. Kujiua alikuwa anapanga siku nyingi sanaa ila why that specific day ni kwa sababu jana alimpigia simu mkewe Dr. Stella. Ambae yuko Korogwe kwenye mradi, wakazungumza vizuri, akamuagaa kilichobakia yeye kukata simu, kama Mungu tu hakukata akabaki anasikiliza, mkewe akijua Rich kakata simu kumbe analiwaaa na Dr mwenzie huko Korogwe.

Akasikiliza mkewe anavopigwa miti mwanzo mwishooo. Kibaya zaidi mkewe analia analalamikaaa wakati akimla yeye mechi haina msisimuko wa coca cola wala nini. Huku mpaka mkewe ana angua kilio. Analiaaaa Mo unajua kinifanyaaaa, unanifanya vizuriiii sanaaa. Hapooo hapoooo Moooooo! Kasikiliza mpaka mechi imeishaa anamwamvia Mo bora unavoniliwaza Rich ana ni stress sanaa. Sikutegemea ningeishia pale kimaishaaa. Kosea yote usikosee kuoa au kuolewaa. Vocha ikaisha simu ikakatika.

Hawezi kwaambia kina T sababu ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndaniii. Na mimi kaniambia sababu Faza. Nikaamua nije tu niyajenge nae kwanza mpaka awe stable. Nikafikia nyumbani kwao na Stella maana hali tete. Bora Stella angejua alivo kunya kuliko ambavo hajui.

Tumerudi Stella hana hili wala lile bora angemsikiliza boss Ruge kuogopa mambo mawili Mungu na teke linalotujia. Anajifanya kumu hamuuu mumeweee. Kamtengenezea chaiii ya jioni na biscuit wanawake Mafiaa sana! Kama Nadya kulala na mimi na kwenda kutombwa usiku huo huo na mwanaume mwingine. Akatuwekea, Rich kaiangalia ile chai mpaka ikapoaaa. Haja inywaa. Nikamwambia muulize tu ajue umejua. Akasema nitampiga na kitu kizito kichwani. Muulize wewe mbele yangu. Wewe una Mungu. Mimi huyo ndugu msomaji ndo nina Mungu.

Jioni nikawaita kikao na kuanza kuuliza je kuna matatizo katika hii ndoa. Stella kabla hajajua yake was very cooperative akasema tu Rich is Moody, Rich is rude Rich shut her out of his life. Sex life ni mbaya. Nikamuuliza na Rich wewe je?

Akasema my wife is a whore! Wote mi na Stella hatukuitegemea, atleast mimi. Stella akaja juu unasemaje we mbwa? Nakulisha na kukuvalisha hapa, nakuhudumia kama mtoto and you cant even respect me? Umeonaa Faza balaa naloishi nalo? Nikarudia kumuuliza Rich nini tatizo? Akarudia ile ile kauli my wife is a whore! Stella akanyanyuka kuingia chumbani kulala. Rich akaendela analiwa liwa na watoto kina Mo anasahau kukata simu namsikia live akufanywa. Mooooh hapoo hapooo niliwazeee, Rich anazeesha. Stella kusikia yale akayeyuka kwanza, akawa mpoleee akakimbilia nje kusiko julikana. Father nikabaki nimeldgea mpaka pumbu. Kikao hakikwenda kama ilivotarajiwa. Hakurudiii. Rich akasema apelekewe bag huko huko kwa Monica.

Stella akaniita chemba na kunichana ukweli woooote kwamba ndio kakosa ila so what!? She wasnt even remorse full. Anakomaa kwani Rich ha cheat? Nikamuuliza sasa kama hujuti umeniita hapa mimi wa nini? Akaniambia bwana Faza mi nataka unirudishe kwa Rich. Sio kwamba namtaka Rich ila naitaka ndoa yangu, na familia yangu, status yangu ya mke wa mtu. Afe kipa afe beki fanya unirudishe pale. I have invested so much and i have worked so hard for those things so siwezi kuviachia kirahiiisiiii hata kidogo.

Nikamtega nakurudishajeee? Akasema we pastor bwana! Unasisitiza anisamehe mkewe, ndoa ya kanisani haivunjikiii, you are the best at this. Unamjazaaa unamjazaaa atajaaa tu mwepesi yulee. In return name your price. Hata kama uchi nakupa kwani shingi ngapiiiii!? Mmmmmhhh! Ndugu msomajiii.

Nikataka kumwambia uchi wenyewe ushachokaa mi wa kazi gani, instead i am a civilized man, nikamwambia in retrun namtaka Nadya! Aje mwenyewe kunifata mimi kuniomba msamaha, na asiwe jeuriii, yeye Nadya awe ana nihitaji yeye. Do you think you can make that happen? Nilijua hana jeuri hiooo. Nilimwamvia vile biashara ishindikane. Akawa anajisemesha Nadya jeuriiii sanaaa. Nadya kiburiiiii. Nadyaa hapana aiseee. Nikataka kumwambia basi dili hakuna. Nikamwambia na uliofanya wewe madogooo unadhaniii? Akasema DEAL DONE.!

Nikaanza kumpiga propaganda Rich kwamba he is the problem. Japo mkosefu ni Stella but he drove her to frustrations. He shut her out so he is as guilty as her. Yeye hampi mkewe haki yake ya ndoa anategemea mkewe aishije sasa. Ni sawa na kumnyima mtu chakula akaiba kwingine asife njaa afu wewe ulie mnyima chakula umuhukumu. Kwa Mungu makosa yake makubwa kuliko ya mkewe. Amemnyima mkewe upendo kaenda kuutafuta pengine. Nilidogosha makosa Stella mpaka aibuuu.

Rich is psychatric so he is vulnerable akaanza kukubaliana na mimi. Nikampanga na Stella aombe msamaha aoneshe remorse. Nikawaita kikao, kikaenda vizuriii Rich akakubali kusamehe. Stella akarudi kwake, wakawa wako poa. Ikawa part yake ku deliver sasa.

Akaanza kunipiga siasa bwana wanawake wengi achana na Nadya kuna mtoto mzuriii huko kazini kwake. Nikamla kwanza na kumwamvia usilete usanii namtaka Nadya! Huku na huku akabiambia bwana kiukweli faza mimi kumdeliver Nadya aje mwenyewe ile ngoma nyingineee kabisaa nundaa lile wewe lione vilee vilee ila naweza kukupa tips uende wewe front za kumpata.

Kiukweli pamoja na yoote Nadya alinikaa rohoni vibaya mnooo. Aliniingia rohoni kavisaa sio moyoni. Afu nilipiga nae mechi ile ya ghafla ghafla ndo mazabw mechi ile ndo katikaa mechi zoote nazopiga piga iliifunika mechi yangu na Zidah! Sijui kwanini na nyota ya kuwapenda hawa malaya.

Yule mwanamke wa Ngurudoto very decent, civilized katoka familia bora, anajielewa ila sasa sina mzukaa nae kabisaa. Nimepiga nae mechi dhaifuu kabisaa haina hisiaaa.

Hamuwezi amini nimeenda kumtikisaa yule mzee nataka nyumba Dubai akagomaa akasema kama kujiua jiuee tu nitazika nijue mojaaa. Nikisikia uchungu sanaa nitajiua na mimi ila sinunui nyumba duabi umpe mwanamke.

Huku na huku nikamwambia ukininunulia nyumba Dubai nitafanya kazi kwako mpaka niilipie hio nyumba Dubai. Kidogo nikamshawishi. Kwa ushenzi akanunua nyumba kwa jina lake yeye so sina mamlaka nayo zaidi ya kushika funguo tu.

Nadya akawa ananikwepaaa kabisaa kabisaaa. Ikabidi nikubali tips tu za Stella. Akanipanga wewe yule usimwambie unataka kumuoaaa! Yule muhuniii chama la wana nenda nae kihuniii huniiii. Utampata fastaaaa. Usimwamvie nakupendaaa nina malengooo.

Sisi tulivomuuliza shoga ake Monica alivomuuliza akasema hujui kutia ndo maana ukamuacha na kikoko. Nikashindwa kuvumilia jamani Stella wanawake wote wananisifia Leo na mashine kubwa kazi naiwezaa. Kidogo nimtie yey Stella kumuhakikishia kama vipi. Akasema malaya usiwasikize wanasifia pesa zako tu, sasa Nadya pesa anayo anapenda mashinee kweli. Kumpata kwa urahisiii kabisaa mwambie Nadya nifundishe kutiana.Hata kama kumlipa mlipe. Yule ukienda nae sawa ata fall tu kwako. Mmmmmhhhh! The shit was savage.

Nikaanza na mambo, zikawa hazijibiwii wala nini. Kidogo nikamuombe Vivi atumie Veto the issue siku hizi siweiz kumuangalia usoni toka nimuone mjeda anajinafasiii na mlupo.

Siku kuna party kwa Stella, akaja akawa ana ni ignoree kabisaa, kaja na mkaka sio wa new Africa mwingine kabisaa. Nikajikaza na kumfata akiwa peke yake akaniuliza hivi wewe nani tena? Nadyaaaa! Nikamwambia No body you know! But i have that appartment you wanted so badly in Dubai. Nicer location than Tyrone and Vivis. Kama namuona chupi ilivomloaaa.

Eti akanikumbukaaa muongooo. Nikamuonesha picha nilivojibarizi. Ashasahau kila kitu anajipanua panuaaa kama sio yeye aliekiwa ananikazia. Nikamwambia ask Tyrone. Mda huo huo akaenda kumuuliza. Akamwambia maybe maana aliomba namba ya agent alietuuzia sisi. Chupi ikamlowaa upyaa. Kurudi mi sipooo.

Niko chumbani maana bado nakaa kwa Stella. Ananitumia sms Poa, jamani sikuiona hii sms yako ya mambo ndo naiona leo! Khaaaaa! Jamaniiii. Anapapatika yeye sasa.Ikumbukwe apartment sio yangu ya Mzee na kazi ya kumipa hata sijaanza.

Nikamchomekea i waa thinking kwenda kuizindua hii apartment. Anajitoa ufahamuuu mi nipooo. Mi niko hapaaa. Kwanza it was her idea. Nikamwambia it was my money. Tutaenda ila kwa one condition!

Yuko name anything! Nikamwambia unifundishe kutiana mpaka niweze kukuridhisha wewe. Akacheka haaaaa! Somo limepata mwalimu na uwabja wa kujifunziaaa. Kata hizo tiketi mwanafunzi wangu.

Tukapanga tukakae week! Kila mtu akasema leo piga chini mwananguuu utajipatia pressure bureee! Bwana nyie ndugu wasomaji kipendacho roho hula nyama mbichi.

Kuanzia airport i waa the happiest man on earth. I wished she knew how i was proud of her, how i wished angekuwa ndo mke sasa nampeleka vaccation. Airport akakutana na wenzie wakamuuliza mimi nani? Akajibu no body serious.

Kufika kule kuiona nyumba yangu na funguo ninazo akapagawa sio kidogooo. Money can not but you love but it can buy you ingradients of love. Kufika na kufika kavia nguo zoote kabakia na Gstring nyembamba matiti waziii kazama kwenye pool. She is up to that life style.

I just sat there admiring the view, nikasikia axha kushangaa kama masengery ingia kwenye maji humu. Mambo mengine jiongezee wewe mtu mzimaa. She is rude ndugu msomajii. Sikupaki bukta ya kuogelea. Bikawa namuelezea inabidi nikanunue. Akasema wewe wa wapi sina una boxer zama nayo hii sio public pool, ni pool yetu hata uchi we ingia nyumba yako, pool lako hili.

Nikavua suruali sasa mimi ni mseminary sivaagi boxer navaa chupi zile za kiume. Akanionaaa! Yuko Gooosh what are those? So 1960s. Jamani faza na wewe bora hata pool la kwako mambo ya aibu hayooo.

Nikaingia mule, mi mstaarabu, mtumishi. Nikasikia unaniangalia mimi dada yako? Faza naona mwanafunzi wewe utanishindaa utanishindaaa. Hata ABCDE hujiii. A e i o u hujuiii. Bora ungebakia huko huko shirikanii. Sogea hapa kabla sija ghairi.

Nikasogea akanivuta na kuniweka 0 distance, na kulock miguu. Mipajaa lainiiii mamaeee. Akanivua miwani, nikagoma Nadya i cant see without them glasses please. Akaniambia tuko wote hapa wasi wasi wako nini. Nikakubali tu ila ndo nikawa naona blurr! Akaanza kunipa matee, mzee kachachamaa hiviii! Nikasikia na mwanamke nae raha anazitaka sio kusikizia wewe, jishughulishe na mimi nisikie raha tusikie wote mimi sio mtumwa wako.

Ualimu witooo jamaniii. Haya sio kunishika hovyo hovyo hivo vipi! Anza sikio na usinijaze mimateee. Ulimi kwa ustadiii. Sasa yeye anavonifanyia vinanivuruga network inakata kasgika mashine na mikono laini afu mi nifanye mambo yote hayo ya masikio si kutaka kuniua hukooo. Akaona siko serious. Akaachia. Akasema sasa wewe nifanye mimj maana kufanyana umeshindwa. Sifanyi chochote babake unifanye wewe.

Network ikarudiii nikaona nikiendelea kufanya masihara nafukuzwa darasani na Ticha Nadya ni mkaliiii sana. Nafanya nasgushuliwa sio hivooo. Nikipatia sipewi complement nasikia tu analegea kidogo kidogo. Wasomaji mi sio zuzu kiasi hiko nikielekezwa mara 2 tu na msaterna kuweka utundu wangu juuu. Nimeamviwa sikio nimeshuka mpaka shingoniii. Kujitia mwalimu naona mwalimu analegea yeye. Napewa direct oda shuka kwenye manyonyo nashukaa na ulimii, nasikia sio nyonyo la mama yako hilo unyonye hivo lamba lamba kishkajiii. Basi najiongezaaa. Nikarusiii sikioniii.

Nikajua Nadya wadudu wake wako sikioniii wote. Nikarudi kufa na sikio mpaka lisikie dawa. Akaacha kususa sasa akanza kunipapasa sasa mwenzangu pro anatambaa na ramanii. Likawa darasa la kimya kimya. Nikaanza sasa kusikia maumivuuu.

Nikamuomba baby naomba tufanyeee! Nikasikia unaniomba mimi dada yako unanikata stimu ujue, kama unataka kufanya unafanya tu sio mpaka utoe mitangazo mia mia, supriseee nayo ina raha yakeee! Mmmhhh! Namwambia twende basi kwenye kitanda cha pool! Akapiga hapa hapaaa kanigeuzi mzigoomambo ya dougy style ya kishkaji nusu qima wima wima nusu doggy!

Mwananguuu ndugu msomajiii hapo nyege zimetupanda nyuzi 360 kwenye kona shaaa. Nawaza nampigajee huyu ngachuriii na shasema mimi kutia siweziii. Nilikksea ninj na niongeze nini leo nisiaibike. Niboreshe nini?

Nikakumbuka siku ile nilijitia mjeda kqenda speed ya mwendo kasi mzigo ukanishinda nguvu. Leo naenda na speed ya kobe. Namtia taratibuuu! Kidogo kidogoooo sina harakaaa! Mpaka atalilia mashinee iongezwe kasi. Leo naenda na 2G.

Naingiza mashine akisisimka nachomoaa! Naingiza mashine akisismka nachomoaaa. Tena kwa dough style nikawa nampata vizuri sanaa. Namgusisha mashine kama katereeo si katerero, anadataa, analilia mambo sasa hanioni mi niko nyuma yake, si ana kiburiiii! Na!uuliza baby unatakaaa! Akikaa kimyaa nandeleza ubazaziiii. Akashindwa kuvumilia baby nipeee, kalegeaaa.

Nikaanza kumpa mashine taratibuuuu, na nilikuwa namla taratibuu ili nimfaidi piaaa jamani nauli yote ya Duabi namlaje kwa kasi ya 4G kwa mfanooo! Naaugua taratibuuu! Mtoto anadataaa! Alitaka mwenyeww kwenye majiii! Kalegeaaa! Baby twendw kitandani! Namwambia hapana hapa kwenye maji si umetaka kwenye maji twende sawa sawa.

Baby sina balance tusije kuzama! Namwambia mimi nipo kuku support nina balance ya kutoshaaa! Akalegea kama mlendaaa nikabaki kum support mie. Nikahakikisha kakojoa ndo nikaanza kumpiga sasa speed ya 4G ndo na mimi nikojoe . Kumaliza hoii na mimi hoiii. Nikamwambia haya nipeleke kwenye kiti sionii mwenzio au nipe miwani. Ndo kunikokote kwenye kiti.

Tulilala hoiii. Kustukaa akaanza kesi mshenzi kumbe kufanyana unajuaaa sanaa tu mbwa wewe kwanini siku ile kunifanyia vile? Nikamwambia wewe umenitangaza kote sijui kufanya sasa kakanushe taarifa. Analamika mshenzi michezo unaijua hiii sanaa tu kwanini umenichuuza. Na mimi japo nimejifunza humo humo nikajifanya najua kitambooo sanaaa.

Basi kutokujua kufanya kosa na kujua kufanya kosa la jinai nako. We semnary ulikuwa unawafanya waumini sio buree mambo haya kakufundisha nani? Namwambia si wewe ndo umenifundinini

Akaenda kupika tukalaaa tukashibaaa kabisaa. Mi nikaingia chumbani. Mwanamke kama samaki kaingia tena pool! Nikawazaa niingie mule hataa nguvu sinaa mechi ya pool inataka stamina bila hivo mnazama kweli. Nikajinyoosha chumbani.

Akaja uchi uchi moja kwa moja kunikaliaa! Nikasema hapa natambaa na notsi za mchanaaa, usiniombe mimi dada yako? Kama unazamisha unazamisha maswali ya nini. Mwanamke nae anatakiwa kusikia raha sio wewe tu. Pointwrs hizooo zilinitoshaaa kabisaa. Mi nikamdakaa juu, mabusu kidogo nikakimbia sikioni kwenye wadudu wake. Kweli putooo kubwa dawa yake sindano tu.

Mi nidooo najiseviaa nishaambiwa lamba lamba kishkaji mi nalamba na kupuliza babake, anadataaa! Mkono mwenyewe nikajiongeza kuupeleka ikulu nikigusa sehemu nikiona analegea sanaa hio hio naikomaliaaa mwanzo mwishooo! Mtoto hoii mpaka anaanza kunitukana sasa nifanyeee basi baby naumiiaaa! Namwambia badooo! Anaombaa baby pleaseee! Nikampelekea mashine nikijua kabisa kabisa kashanisoma kajiandaa na speed ya 2G kama mchana ndo atafurahia show.

Nikajua yule vidole viahammaliza amda nikampelekea kasi ya 4G. Nilimbanaa design kwamba hana ijanja anatulia mashine inamuingia yote afu speed 4G. Aaaaahhh! Hii style nimeipa jina Teminator. Aaaaaahhh! Dakika 10 nyingi mi nakojoa yeye hukuuu shakojoa na kilio juu.

Hataki kusikia lolote anachotaka nimwamvie seminary nilikuwa natiana na nani? Hahahaaa! Mi namwambia mi sijui kufanya bwanaaa! Unanifundisha qewe tena nakulipa pesa ndefuuu kwa kazi hii. Anakomaa usipotezee topic, nabi ulikuwa unalala nae seminary kama sister unitajie jina sister Sara au Sisternani nijue. Nikaenda kuogelea kwanzaaa.

Nikasikia kama anaongea na simuuu. Nikamnyatiaaa nisikie nikawaza aaijekuwa anaendelwza uhanisii wakw mpaka dubai. Kumbe kampigia Monica anamsimuli sasa shoga nafanywa vibayaaa huku shoga angu achaa tu! Utaamini mechi zote tangia nifike napotezaa tu! Achaaa! Mwanaume anafanya huyuuu mpaka naliaa mwenziooo. Anajiminina sasa mi sisikii anachosema Monny. Ila akajitetea siku ilw sijui alilewa au nilimstukizaa ila sasa ndo nimekikna cha mtema kuniii.

Nikarudi zangu kwenye poool! Shubhamiiit kabisaa na bado hapooo utaita maji mma. The best part i was enjoying every moment of this vacation.

HAPPY NEW YEAR PEOPLES!
 
aeiou hujii abcde hujiii .nimecheka sana mimi hii episode.. lol
happy New year too Lara1. upate nguvu ya kutupia maepisode mengi zaidi.
 
daah hiz post za leo tam, thank you Queen Lara 1. Nadya tayari ashazima kwa mseminari
 
Back
Top Bottom