Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

Hahaahaa aiseee
 
Daahh huyu ndo Laraaa 1 Kubwa la maadui ni zaidi ya fireee...
 
Duh ilikuwaje sikupata notification??? Wadau niambieni kama imeisha kwanza .....asante Lara 1 kwa kunikumbuka
 
Hivi unamiminika hivo ukiwa unatumia kinywaji gani,nakulipia kwa mtandao wowote uwe credit card,Tigo pesa,m pesa au airtel
Mimi namtumia kwa JF-Money
 
Sasa Lara upo waiting lounge af smart imeisha charge ama wireless zote ni fankshenilesi...we are waiting for muendelezo ujue
 
Wapenda ngono wapo ICU,ni Lara1 tu anayeweza kuwapa dahawa ya maradhi yao,Wengine wana ugonjwa wa mipapa kuloana wengine Midindio ya Ubo-ngo. Dada kubwa Waonee huruma watu hawa,Ni sisi washirika wenzako katika bwana tu ndio tunao kinga ya kutoumwa miugonjwa hiyo ambayo dalili zake ni kuingia JF kila baada ya Sekunde 30 kwa marudio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…