KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,214
- 56,853
Weekend iliyoisha jana si tu ilikuwa nzuri bali tamu kiasi na chungu kiasi!.. nilipata figure moja hiyo mpk sahivi najiuliza ni jini yule au dubwasha gani..?
Kama kuna watu duniani basi wakike yule ni jitu na si mtu!.
As usual alikuja geto mara hii nilichenji kinywaji sio tena juisi kola ulikuwa uji wenye pilipili na limao nikamix na blue band bila kusahau ulikuwa na tangawizi kwa mbali! Usishangae ndo makomamanga tulivyo hiyo ndo balance diet.
Nilikuwa nimekaa na mpensi wangu na bonge la kikombe jasho mpk kwenye unyayo ghafla nikasikia hodi!.. nikakurupuka nikaenda kumwaga ule uji kwanza ili mgeni wangu asiuone nilivyomaliza nikaenda mfungulia.. asalalee laiti ningejua hata nisingejisumbua kwenda kumwaga ule uji wangu! Iliniuma sana maana kiumbe nilichokikuta kilikuwa kirefu na niliona kabisa nae pia alistahiri kunywa ule uji tu hakukuwa na haja ya kumuonea aibu kama alishindwa kuona aibu kuwa na urefu ule basi uji ule haukuwa shida kwake pia!.
Nilijipa moyo nikamkaribisha na zile skonkonko zake! Lkn kabla hajakaa akaniuliza unafua..? Nikamjibu hapana then nikamuuliza kwanini..?
Akatazama chini kila nilipokanyaga niliacha maji! Yeye alijua maji kumbe jasho la uji!! Nilimjibu navyojua mimi tu akakaa kimya!
Baadae kapika tukala,stori n.k tukacheza karata na alikuwa akinifunga changanya na ule urefu wake ni kama alikuwa akinionea tu! Kukata stori ilivyofika usiku tukalala lkn Binafsi ilikuwa ngumu maana mshipa wa mapenzi ulikuwa haulali na hapo ndipo nilipokuja kujionea mengine zaidi!
Nikamuamsha nikamuomba gemu akagoma! Madai yake ni kuwa ati mpk tufunge ndoa!! Nilishangaa sana tena sana!
Hasira zikanishika ila sikutaka mlazimisha maana alivyo tu ule urefu wake inatosha kukuambia kuwa "usiempenda kaja"..
Kinyonge nikajilaza huku nalalama taratibu hapo nimekasirika mpk mate hayamezeki! Alivyoona hivyo akanionea huruma nikasikia akisema "Leo tu!" hapo mpk nywele zikanisisimka..! Nilisimamia ukucha mtu wa watu mpk mwenyewe alifurahi.. tulivyomaliza alikuwa mwingi wa tabasam Sasa gemu ilichezwa taa ikiwa imezimwa si nikaamka kwenda kuiwasha asalalee nae alikuwa kajisahau ebhana wee nilishuhudia unyonyo huo si wa kiwango hichi!! Kukata aibu akaniambia na leo huu ndo mto wako! Si nikaguna! Ghafla nikarukiwa! Nikaulizwa unabisha..? Nikakataa kuwa sibishi kwa kutikisa kichwa huku macho yangu yakiangalia ule unyonyo ulivyo lkn nafsi ikawa kama inaniambia kataa lkn nyengine nayo inaniambia "kwa huo urefu wake na hiyo minyonyo ukikataa kwisha habari yako"
Ilibidi niutumie unyonyo wake mmoja kama mto na ulinitosha mpk nilivyoamka asubuhi nikajikuta naropoka tu "dunia hadaa walimwengu shujaa!"
Alikwenda zake na nimemubuloku na hapo gheto nasafiri mwezi na nikirudi nahama.. na sirudii tena kuita demu wa fesibuku waishie hukohuko na fesibuku zao.
Kama kuna watu duniani basi wakike yule ni jitu na si mtu!.
As usual alikuja geto mara hii nilichenji kinywaji sio tena juisi kola ulikuwa uji wenye pilipili na limao nikamix na blue band bila kusahau ulikuwa na tangawizi kwa mbali! Usishangae ndo makomamanga tulivyo hiyo ndo balance diet.
Nilikuwa nimekaa na mpensi wangu na bonge la kikombe jasho mpk kwenye unyayo ghafla nikasikia hodi!.. nikakurupuka nikaenda kumwaga ule uji kwanza ili mgeni wangu asiuone nilivyomaliza nikaenda mfungulia.. asalalee laiti ningejua hata nisingejisumbua kwenda kumwaga ule uji wangu! Iliniuma sana maana kiumbe nilichokikuta kilikuwa kirefu na niliona kabisa nae pia alistahiri kunywa ule uji tu hakukuwa na haja ya kumuonea aibu kama alishindwa kuona aibu kuwa na urefu ule basi uji ule haukuwa shida kwake pia!.
Nilijipa moyo nikamkaribisha na zile skonkonko zake! Lkn kabla hajakaa akaniuliza unafua..? Nikamjibu hapana then nikamuuliza kwanini..?
Akatazama chini kila nilipokanyaga niliacha maji! Yeye alijua maji kumbe jasho la uji!! Nilimjibu navyojua mimi tu akakaa kimya!
Baadae kapika tukala,stori n.k tukacheza karata na alikuwa akinifunga changanya na ule urefu wake ni kama alikuwa akinionea tu! Kukata stori ilivyofika usiku tukalala lkn Binafsi ilikuwa ngumu maana mshipa wa mapenzi ulikuwa haulali na hapo ndipo nilipokuja kujionea mengine zaidi!
Nikamuamsha nikamuomba gemu akagoma! Madai yake ni kuwa ati mpk tufunge ndoa!! Nilishangaa sana tena sana!
Hasira zikanishika ila sikutaka mlazimisha maana alivyo tu ule urefu wake inatosha kukuambia kuwa "usiempenda kaja"..
Kinyonge nikajilaza huku nalalama taratibu hapo nimekasirika mpk mate hayamezeki! Alivyoona hivyo akanionea huruma nikasikia akisema "Leo tu!" hapo mpk nywele zikanisisimka..! Nilisimamia ukucha mtu wa watu mpk mwenyewe alifurahi.. tulivyomaliza alikuwa mwingi wa tabasam Sasa gemu ilichezwa taa ikiwa imezimwa si nikaamka kwenda kuiwasha asalalee nae alikuwa kajisahau ebhana wee nilishuhudia unyonyo huo si wa kiwango hichi!! Kukata aibu akaniambia na leo huu ndo mto wako! Si nikaguna! Ghafla nikarukiwa! Nikaulizwa unabisha..? Nikakataa kuwa sibishi kwa kutikisa kichwa huku macho yangu yakiangalia ule unyonyo ulivyo lkn nafsi ikawa kama inaniambia kataa lkn nyengine nayo inaniambia "kwa huo urefu wake na hiyo minyonyo ukikataa kwisha habari yako"
Ilibidi niutumie unyonyo wake mmoja kama mto na ulinitosha mpk nilivyoamka asubuhi nikajikuta naropoka tu "dunia hadaa walimwengu shujaa!"
Alikwenda zake na nimemubuloku na hapo gheto nasafiri mwezi na nikirudi nahama.. na sirudii tena kuita demu wa fesibuku waishie hukohuko na fesibuku zao.