Inashangaza kidogo Tume ya Uchaguzi ya Taifa ya Tanzania haina hata majina ya wagombea wala habari za uchaguzi wa mwaka huu. sana sana hutuba za wakubwa wa NEC .
Ukiangalia Presential candaidates unakuta majina kama Lyatonga Mrema. anna senkondo .
habari mpya ni ya tarehe 2 julai 2010 . hii ndio NEC ya Tanzania itakayosimamaia uchaguzi 2010 .
Ukiangalia Presential candaidates unakuta majina kama Lyatonga Mrema. anna senkondo .
habari mpya ni ya tarehe 2 julai 2010 . hii ndio NEC ya Tanzania itakayosimamaia uchaguzi 2010 .