Oyooooo ...naelekea kijijin kukata miti ya kuchoma mkaa nyie mtanitumia sms kama majina tayar au badoo ..maaana kijijin huko sitakuwa na simu ya net..namba yanguu ni https://jamii.app/JFUserGuide...waungwana mtanitumia sms naenda kijijin ...maana nimesubir mjin ad nimechokaa