Website opening, operating and costs


Mkuu kama nna static website ni lazima nitumie back end languages kama php??au css na html na js zinatosha??

Ni site nliyotaka kuweka contents ambazo users wata download...picha ...documents!!
 
Mkuu kama nna static website ni lazima nitumie back end languages kama php??au css na html na js zinatosha??

Ni site nliyotaka kuweka contents ambazo users wata download...picha ...documents!!
Kila language hapo ina umuhimu wake hata kama website sio dynamic.

CSS inatumika kwenye Layout/muonekano wa web page. Yaani hiyo ndio itakayoisimamisha website yako na kuifanya ionekane kama unavyotaka. Css itafanya yafuatayo: Size ya page, rangi ya section za page au page nzima au background color, font color/ size/style, effects ndogo ndogo za picha kama vile opacity, hover, transition delays na filter.

JAVASCRIPT : pia inatumika zaidi katika effects Za text picha na slideshows pamoja na onPage validations.

PHP sasa hapo ndipo unaporahisisha website yako ya static/ dynamic.
Kwa mfano umeDesign website yenye page 40 na kila page ina sections 5
1. Header/menu
2. Left-bar
3. Right-bar
4. Contents-container
5. Footer

Sasa kwa kutumia PHP utatengeneza function ya kila section. Na hizo function utazisave kwenye file totauti kwa hiyo kwenye kila page utaziita (include) hizo function pale panapohusika.

Faida zake PHP
Mfano ,Mwenye website akitaka umbadilishie ile copyright kutoka mwaka
2016 kuwa
2017 , basi wewe utaenda tu kwenye function ya FOOTER.PHP utaiEdit na itaReflect page zote. Pia kuEdit menu ni hivyo hivyo.

Bila PHP utasota sana.
 
Thankyuuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…