Barakaeli174
Senior Member
- Aug 2, 2015
- 171
- 142
Tunahitaji professional web designer kwa ajili ya website ya chuo, financial services na NGO. Mzoefu awe ana uwezo wa ku design website na database ndani yake kwa ajili ya watumiaji wa huduma za ofisi hizo.
Maombi yote yaambatanishwe na gharama za kutengeneza tovuti. Maombi yatumwe kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu, ATL P.O.Box 9300 Dar es salaam
Maombi yote yaambatanishwe na gharama za kutengeneza tovuti. Maombi yatumwe kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu, ATL P.O.Box 9300 Dar es salaam