Websit ya kusomea vitabu.

Websit ya kusomea vitabu.

michepuko

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
1,192
Reaction score
346
Ni website gani ninayoweza kuingia nakusoma vitabu vya science (soft copy) bure?
 
Kusemea = Kusomea

mkuu kwanza kitabu kusomea online n kaz. vtabu vnakua na extension ya either epub au pdf.. kwenye mozila kuna adons za epub na pdf reader but still n mpaka u download ndo ufungue ukiwa offline... cha muhmu ungesema unatumia simu ya system gan au device ipi kusomea vtabu... maana vtabu hata kwenye ma torrent vpo..... na kukieka ktabu online ita take alot of web pages just for one book...

so tuambie unatumia device ipi tukuelekeze kwa kupata epub readers na pdf readers ndo then tukupe links za kupata vtabu......


pia nadhan humu kuna haja ya watu kujifunza jinsi ya kuitumia vzur search injini ya google mana hakuna website itakayo kusaidia vtabu vyote hvyo n muhmu watu kujua wata itumia vp google kupata kile wakitakacho.....
 
Jaribu h33t.to ina vitabu vingi lakini ni kwa ajili ya ku download torrent sio mfumo wa kuingia na kusoma tu.
Pia jaribu kickass.to imejaa vitabu ni kaxi kwako ku search!
 
Kusemea = Kusomea

mkuu kwanza kitabu kusomea online n kaz. vtabu vnakua na extension ya either epub au pdf.. kwenye mozila kuna adons za epub na pdf reader but still n mpaka u download ndo ufungue ukiwa offline... cha muhmu ungesema unatumia simu ya system gan au device ipi kusomea vtabu... maana vtabu hata kwenye ma torrent vpo..... na kukieka ktabu online ita take alot of web pages just for one book...

so tuambie unatumia device ipi tukuelekeze kwa kupata epub readers na pdf readers ndo then tukupe links za kupata vtabu......


pia nadhan humu kuna haja ya watu kujifunza jinsi ya kuitumia vzur search injini ya google mana hakuna website itakayo kusaidia vtabu vyote hvyo n muhmu watu kujua wata itumia vp google kupata kile wakitakacho.....

Nina vitabu nimedownload kwenye hii format, nataka niconvert kwenda PDF.

Nafanyaje??
 
Nina vitabu nimedownload kwenye hii format, nataka niconvert kwenda PDF.

Nafanyaje??

mkuu mm sna converter ya hz kitu ila nlikua nna reader yake but now dayz natumia mozilla Firefox .. nmeidownloadia ka extension [adons] ambako kanafungua epubs kwa Firefox naona ile ndo nzur maana hata epub reader nmeitoa maana haina maana tena.. pia kuna adons ya pdf reader...

Lazma uwe na mozilla ambayo n latest kias. nazan version 28 na zaidi
 
mkuu hata hivyo nimejieleza kwa u shallow sana,nia yangu ni kudownload na kusoma offline.
Thanx kwa mchango wako,ntatumia torrent.
 
mkuu mm sna converter ya hz kitu ila nlikua nna reader yake but now dayz natumia mozilla Firefox .. nmeidownloadia ka extension [adons] ambako kanafungua epubs kwa Firefox naona ile ndo nzur maana hata epub reader nmeitoa maana haina maana tena.. pia kuna adons ya pdf reader...

Lazma uwe na mozilla ambayo n latest kias. nazan version 28 na zaidi

Chief-mkwawa

Naomba converter ya kutoka EPUB format kwenda PDF
 
Chief-mkwawa

Naomba converter ya kutoka EPUB format kwenda PDF

kwann kuconvert? Ebup uwa ina details inside ambapo ukiiconvert kuwa plain pdf zinapotea.

kwanini usitumie epub readers kama calibre ambayo inasoma kila format kuanzia epub pdf doc na zingine pia ina arrange inaweka kumbukumbu ulipoishia kusoma
 
kwann kuconvert? Ebup uwa ina details inside ambapo ukiiconvert kuwa plain pdf zinapotea. kwanini usitumie epub readers kama calibre ambayo inasoma kila format kuanzia epub pdf doc na zingine pia ina arrange inaweka kumbukumbu ulipoishia kusoma

Asante sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom