Web site iko developed in .NET, swali langu ni content zipi zinatakiwa kuwa imported to httpdocs directory ya remote machine? In .net home page(.aspx) nimetumia jina la Default.aspx, je hii inabidi iwe renamed to index.aspx? Nimejaribu ku upload kwa kufuata filezilla description lakini kila nikitaka ku preview site inagoma.
Kama unatumia Visual Studio unaweza ku-upload kwa FTP kupitia VS yenyewe. Nenda Build, Publish.., kisha jaza details za ftp server yako. Kama unataka kutumia hiyo filezila basi kwenye publish chagua local filesystem kisha publish kwenye folder yoyote kwenye PC yako kisha tumia filezila ku upload kila kitu kwenye server.
Upload kila kitu kwenye project folder yako kwenda httpdocs ili hiyo Default.aspx iwe kwenye httpdocs, hakuna haja ya ku rename kitu.
Kama application yako ina database basi hakikisha host wako anasupport database unayotumia, kisha nenda sehemu ya DB na create Db au import kutokana na mahitaji yako.
Pia inaweza ikakulazimu kubadili DB connection strings kwenye app yako ili ziwe zinapoint katika database yako mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.