Web disigners/web developers na Bloggers tafadhali nisaidieni.

Web disigners/web developers na Bloggers tafadhali nisaidieni.

Francis Mawere

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
965
Reaction score
838
Mambo vip wakuu ni matumaini yangu nyote Muu wazima Kiafya na poleni na majukumu mliyo nayo.

Lengo la kuandika Uzi huu hapa jukwaani ni Kuomba ushauri na maoni yenu juu ya Blog hii niliyo nayo kwa sasa. Hapo awali nilifungua blog yangu katika Blogspot ambayo nilikaa huko kwa muda wa miaka mitatu ila Hivi majuzi niihamisha kutoka Free hosted blog kwenda katika self hosted blog ambapo kwa sasa natumia WordPress as a publishing platform.

Mpaka sasa nimefanikiwa kuikamilisha kwa maana kwamba Nimenunua New Premium Theme ambayo nimefanikiwa kuifanyia Customization kwa zaidi ya asilimia 85(Hapa naongelea kwa upande wa Coding na mambo mengine yanayo fanana na hilo).

Nikuombe wewe web Developer na Blogger mwenye Uzoefu mkubwa juu ya hili uipitie Blog hii kisha unishauri nini chakufanya na nini ambacho siruhusiwi kufanya.
Boya HAPA kuipitia blog hiyo.

Itakua poa kama Utatumia mfumo huu ufutao kutoa majibu sahihi.
1. User experience
2. User interaction.

TAFADHALI.
Ingawa napenda Maoni yako ila kama Hufahamu chochote katika hili nakuomba ukae tuu kimya na kuangalia wenzako wakidadavua mambo ili na wewe ujifunze.

Nitangulize shukrani zangu za Dhati kwako.
 
Nimecheki ipo poa ila jaribu kucheza nayo kidogo kwenye css ili uwezo kuzisogeza related articles Chini ya post iliyofungu na user.
 
lugha - umeandika "menu","heading","read more"n.k kwa kingereza na kiswahili mfano read more kwenye contents za kiswahili ,umelenga wasomaji wa blog yako wawe na uelewa wa lugha zote mbili?
nashauri utumie "multi language option" kama mswahili anachagua kiswahili na kama wa kingereza hivyo hivyo.
css - rekebisha issue kama hover,image mfano : New audio music Sumu - FID Q- download | Mtokambali image siyo visible kwenye browser nayotumia mozilla.

machache niliyo yaona kwa haraka mkuu..
 
lugha - umeandika "menu","heading","read more"n.k kwa kingereza na kiswahili mfano read more kwenye contents za kiswahili ,umelenga wasomaji wa blog yako wawe na uelewa wa lugha zote mbili?
nashauri utumie "multi language option" kama mswahili anachagua kiswahili na kama wa kingereza hivyo hivyo.
css - rekebisha issue kama hover,image mfano : New audio music Sumu - FID Q- download | Mtokambali image siyo visible kwenye browser nayotumia mozilla.

machache niliyo yaona kwa haraka mkuu..
Poa mkuu nalifanyia Kaz hilo Css ndio Kiza
 
Kazi yako ni nzuri ila kuna vitu ni vyema ukavifatilia
1) User interaction
  1. No contact form. ni muhimu kukawa na contact form badala ya mteja kukopi email yako na kukutumia ujumbe.
  2. Katika site yako chini katika footer kuna neno "contact" lakini linki ile haiendi katika contact page
  3. Huu ni ushauri, kama utakuwa na kamfumo kadogo katakawezesha visitors kupiga kura juu ya jambo fulani itaongeza interactions.
2) User experience
  1. Kuna tatizo la picha kuchelewa kuload au kutokuload kabisa na hii husababisha kuwe sehemu kubwa nyeusi kabla ya posti (ambayo ingepaswa kukaa picha), pia kuwe na sehemu ya wazi kabla na baada ya posti ambapo umeweka matangazo, na pia kufanya related post kuonekana zipo mbali kwa kuwa kuna picha za related post hazionekani
  2. Kuna ile sehemu ya chini ya menyu ambayo ina wanawake. Hii ingekuwa wazi hivyo kwa home page tu ingekuwa ni sahihi lakini kuifanya hadi katika page za ndani inakuwa ni wastage of resources na kushindwa kupata atensheni ya visitor kwa urahisi anapotembelea page za ndani.
  3. Katika icons za social networks ondoa vimeo na youtube kama bado hujaandaa hizo page.
  4. Tazama favicon zako inaonekana zipo mbili tofauti. Hii inapunguza nguvu ya branding
Kaka ni hayo tu kwa leo. Ushauri huu ni kutoka Tanzania Website Design
 
Kazi yako ni nzuri ila kuna vitu ni vyema ukavifatilia
1) User interaction
  1. No contact form. ni muhimu kukawa na contact form badala ya mteja kukopi email yako na kukutumia ujumbe.
  2. Katika site yako chini katika footer kuna neno "contact" lakini linki ile haiendi katika contact page
  3. Huu ni ushauri, kama utakuwa na kamfumo kadogo katakawezesha visitors kupiga kura juu ya jambo fulani itaongeza interactions.
2) User experience
  1. Kuna tatizo la picha kuchelewa kuload au kutokuload kabisa na hii husababisha kuwe sehemu kubwa nyeusi kabla ya posti (ambayo ingepaswa kukaa picha), pia kuwe na sehemu ya wazi kabla na baada ya posti ambapo umeweka matangazo, na pia kufanya related post kuonekana zipo mbali kwa kuwa kuna picha za related post hazionekani
  2. Kuna ile sehemu ya chini ya menyu ambayo ina wanawake. Hii ingekuwa wazi hivyo kwa home page tu ingekuwa ni sahihi lakini kuifanya hadi katika page za ndani inakuwa ni wastage of resources na kushindwa kupata atensheni ya visitor kwa urahisi anapotembelea page za ndani.
  3. Katika icons za social networks ondoa vimeo na youtube kama bado hujaandaa hizo page.
  4. Tazama favicon zako inaonekana zipo mbili tofauti. Hii inapunguza nguvu ya branding
Kaka ni hayo tu kwa leo. Ushauri huu ni kutoka Tanzania Website Design
Thanks Brother! hakika umeliona Hilo na nitalifanyia kazi na nikueleze tuu mimi sio web developer/disigner mzuri maana bado najifunza na ukitegemea am a medical personnel. Aksante Brother
 
Kuna tatizo la picha kuchelewa kuload au kutokuload kabisa na hii husababisha kuwe sehemu kubwa nyeusi kabla ya posti (ambayo ingepaswa kukaa picha), pia kuwe na sehemu ya wazi kabla na baada ya posti ambapo umeweka matangazo, na pia kufanya related post kuonekana zipo mbali kwa kuwa kuna picha za related post hazionekani
Brother Hii ilitokana na Theme Kuja na Feature ijulikanayo kama "Lazy image load" ambayo inafanya Picha Kuonekana baade kabisa ama kutoonekana mara baada ya page kumaliza Ku-load. Good thing ni kwamba nmekwisha Disable hiyo Feature na Problem solved.
 
lugha - umeandika "menu","heading","read more"n.k kwa kingereza na kiswahili mfano read more kwenye contents za kiswahili ,umelenga wasomaji wa blog yako wawe na uelewa wa lugha zote mbili?
nashauri utumie "multi language option" kama mswahili anachagua kiswahili na kama wa kingereza hivyo hivyo.
css - rekebisha issue kama hover,image mfano : New audio music Sumu - FID Q- download | Mtokambali image siyo visible kwenye browser nayotumia mozilla.

machache niliyo yaona kwa haraka mkuu..
Problem solved now Kila Kitu kiko in swahili Language. Aksante Kwa Ushauri wako Bro. One Love.
 
Back
Top Bottom