Hahahah nipo na namsuri wa programming asaiv natengeneza library ambayo itamuwezesha developer ku post/retrieve data kutoka kwenye server on realtime soon itaisha.
Pamoja sana@frankgalos but ningekuwa na laptop ningeombe ungenifunza ku-make website ya kwangu kwa gharama yoyote ile kama hii ya JF na app pia but uwezo ndo finyu.
Pamoja sana@frankgalos but ningekuwa na laptop ningeombe ungenifunza ku-make website ya kwangu kwa gharama yoyote ile kama hii ya JF na app pia but uwezo ndo finyu.
mi nakufundisha bure tu gharama ni hiyo laptop na nauri yako. yakuja coz nna project kubwa sana ambazo hata hiyo library nnayo itengeneza ni kwasababu ya hiyo project so project imesimama mbaka library iishe kwanza.