PLOII
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,099
- 802
Habari Zenu Wadau,
Niende kwenye Mada Kwa ufupi,
Leo kama Taifa tumezindua DIRA ya maendeleo ya Taifa letu(TDV) na Rais Samia akiandika record baada ya Mkapa. Changamoto kubwa ni kuwa tunaandika Dira ya Taifa bila kuwa na Katiba imara ya kuilinda. Tumeshuhudia ndani ya miaka 25 kila Rais anayeingia ana vipaumbele vyake na njia zake za kutekeleza na hii imepelekea Dira ya 2025 Kwa kiasi kikubwa kutofanikiwa mfano malengo ya Dira 2025 ni;
1). Kuwa na Kilimo cha Kisasa ( Modernising Agriculture)
2). Kuondoa Umasikini wa kipato (per capita)
3). Developing infrastructure
4). Advancing technology
5). Driving to Industrial Transformation
6). Elevate a country to Middle - Income Status.
Mwaka 2020 Nchi yetu ikaingia kwenye uchumi wa kati wa Chini baada ya miaka 20 na ongezeko la 170 USD baada ya miaka 20 ( katika miaka 20 ongezeko ni 170 USD) na GDP Kwa sasa ni 84B USD kutoka 64B USD (hapa at least we do better compared to per capita).
Dira ya maendeleo 2050 inalenga;-
1). Tanzania is Industrialised Upper Middle - Income Country with a USD 700B economy & a Per capita of between 4,700 - USD 8,000.
2). Tanzania has eradicated Extreme Poverty & has fewer than 5% of the population living below the poverty line.
3). Tanzania is a leading Food Producer in Africa & among the top Ten Food Producers in the World etc .
✓Kiubinadamu ni lazima upate mashaka kama toka 2000-2022 ndani ya miaka 22 tumepunguza Umasikini Kwa 10% kutoka 36-26 Kitila hapa hajasema mbinu tofauti na zile za 2025 TDV.
√ Ni ngumu Sana kuamini hadi 2050 per capita itakuwa 4,700- 8,000 USD au GDP itakuwa 700B USD huku Kwa TDV 2025 Per capita imekuwa Kwa 170 na GDP Kwa 10% hapa calculation zinagoma.
√ Tanzania itakuwa mzalishaji Mkuu wa Chakula Africa Kwa mpango upi huu wa BBT?
Kiukweli 2050 TDV ni marudio ya 2025 TDV Kwa mambo mengi.
Rais Kikwete alisema anatamani kuwa Rais wa mwisho kuongoza Nchi masikini what happened?
Mipango yote ya 2025 TDV ilifikia wapi? Tumefanikiwa Kwa kiasi gani?
Nazani tumeandaa document theoretically & practically cannot be attained otherwise we need to change leadership style sio hii ya kupoteza 1.5 Trillion & Inefficiency Kwa sectors zetu ( CAG's Report)
Dira inaongelea issues like Equity, Freedom of Expression, Unity , Dignity, Freedom of assemblies & Cultural Ethos.
Swali tupo tayari kulipa gharama ya hiki tulichoandika?
Tuna hiyo gut of keeping opinions from others especially opposition?
KITILA MKUMBO kama Waziri kiukweli hajatutendea haki kama Watanzania sina hakika kama alikuwa anawawazia Watanzania hawa 2025-2050. Implementation analysis of 2050 TDV haina tofauti na 2025 TDV.
Mwisho niseme people need today's solution that reflecting the 25 years to come.
Dira inasemaje kuhusu wahitimu wa kidato cha sita 2026 kuhusu Mikopo au graduates 2026 kuhusu ajira?
Waziri we live once we need immediate solution & we can't anticipate problems to be solved in 2030 because are within a range of TDV 2050, tunatokaje sasa maana kizazi kinapita 2030 huko ni mbali kwao.
Next time I will come with best analysis of this 2050 TDV Leo niishie hapa.
Shukran Sana ndugu zangu.
Niende kwenye Mada Kwa ufupi,
Leo kama Taifa tumezindua DIRA ya maendeleo ya Taifa letu(TDV) na Rais Samia akiandika record baada ya Mkapa. Changamoto kubwa ni kuwa tunaandika Dira ya Taifa bila kuwa na Katiba imara ya kuilinda. Tumeshuhudia ndani ya miaka 25 kila Rais anayeingia ana vipaumbele vyake na njia zake za kutekeleza na hii imepelekea Dira ya 2025 Kwa kiasi kikubwa kutofanikiwa mfano malengo ya Dira 2025 ni;
1). Kuwa na Kilimo cha Kisasa ( Modernising Agriculture)
2). Kuondoa Umasikini wa kipato (per capita)
3). Developing infrastructure
4). Advancing technology
5). Driving to Industrial Transformation
6). Elevate a country to Middle - Income Status.
Mwaka 2020 Nchi yetu ikaingia kwenye uchumi wa kati wa Chini baada ya miaka 20 na ongezeko la 170 USD baada ya miaka 20 ( katika miaka 20 ongezeko ni 170 USD) na GDP Kwa sasa ni 84B USD kutoka 64B USD (hapa at least we do better compared to per capita).
Dira ya maendeleo 2050 inalenga;-
1). Tanzania is Industrialised Upper Middle - Income Country with a USD 700B economy & a Per capita of between 4,700 - USD 8,000.
2). Tanzania has eradicated Extreme Poverty & has fewer than 5% of the population living below the poverty line.
3). Tanzania is a leading Food Producer in Africa & among the top Ten Food Producers in the World etc .
✓Kiubinadamu ni lazima upate mashaka kama toka 2000-2022 ndani ya miaka 22 tumepunguza Umasikini Kwa 10% kutoka 36-26 Kitila hapa hajasema mbinu tofauti na zile za 2025 TDV.
√ Ni ngumu Sana kuamini hadi 2050 per capita itakuwa 4,700- 8,000 USD au GDP itakuwa 700B USD huku Kwa TDV 2025 Per capita imekuwa Kwa 170 na GDP Kwa 10% hapa calculation zinagoma.
√ Tanzania itakuwa mzalishaji Mkuu wa Chakula Africa Kwa mpango upi huu wa BBT?
Kiukweli 2050 TDV ni marudio ya 2025 TDV Kwa mambo mengi.
Rais Kikwete alisema anatamani kuwa Rais wa mwisho kuongoza Nchi masikini what happened?
Mipango yote ya 2025 TDV ilifikia wapi? Tumefanikiwa Kwa kiasi gani?
Nazani tumeandaa document theoretically & practically cannot be attained otherwise we need to change leadership style sio hii ya kupoteza 1.5 Trillion & Inefficiency Kwa sectors zetu ( CAG's Report)
Dira inaongelea issues like Equity, Freedom of Expression, Unity , Dignity, Freedom of assemblies & Cultural Ethos.
Swali tupo tayari kulipa gharama ya hiki tulichoandika?
Tuna hiyo gut of keeping opinions from others especially opposition?
KITILA MKUMBO kama Waziri kiukweli hajatutendea haki kama Watanzania sina hakika kama alikuwa anawawazia Watanzania hawa 2025-2050. Implementation analysis of 2050 TDV haina tofauti na 2025 TDV.
Mwisho niseme people need today's solution that reflecting the 25 years to come.
Dira inasemaje kuhusu wahitimu wa kidato cha sita 2026 kuhusu Mikopo au graduates 2026 kuhusu ajira?
Waziri we live once we need immediate solution & we can't anticipate problems to be solved in 2030 because are within a range of TDV 2050, tunatokaje sasa maana kizazi kinapita 2030 huko ni mbali kwao.
Next time I will come with best analysis of this 2050 TDV Leo niishie hapa.
Shukran Sana ndugu zangu.