Watanzania sisi ni watu wa ajabu sana, yaani mgawo 18 hrs per day, bado watu wapo relaxed. Bado watu hao hao wanasimama kutuambia eti wanatekeleza ahadi walizotoa wakati ka uchaguzi kwa awamu.Tufike mahala tusema tunataka umeme na tumechoka na siasa za ajabu ajabu. Sasa hivi watu wote tutakimbilia IGUNGA na kusahau kabisa hili giza tulilonalo mpaka matokeo yatakapotangazwa.Kama watu wameshindwa kutatua umeme kwa miaka zaidi ya 4 msitegemee chochote ndani ya siku 21 ndugu zangu -