Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,667
- 26,136
Tusubiri basi viwango vya ufipa manaake wao ndio wako sahihi zaidi.Maisha ya watanzania wanyonge yamekuwa maisha ya “middle class”?
Tusubiri basi viwango vya ufipa manaake wao ndio wako sahihi zaidi.Maisha ya watanzania wanyonge yamekuwa maisha ya “middle class”?
Unategemea mabeberu kufahamu uhalisia wa wananchi wako zaidi ya wananchi wenyewe? Ndo maana mkawaziba midomo na kuwajaza propaganda? Na uchaguzi mkuu msuburi kauli za hao hao mabeberu!Sijui, labda WB wamekosea.
Kumbe unakubali kuwa uchaguzi ni kanyaboya?!😀👍🏽Formalities tu hizo ili WB wasitutoe kwenye list ya nchi za uchumi wa kati ya mapaja.
Wapi "nimekubali"?Maani
Kumbe unakubali kuwa uchaguzi ni kanyaboya?!😀👍🏽
Ilo lipo wazi, ccm hawawezi kuondolewa kwa sanduku la makaratasi.Maani
Kumbe unakubali kuwa uchaguzi ni kanyaboya?!
Hao jamaa wa ufipa au Zitto ndio wanatoa viwango sahihi. WB wamekosea.Tusubiri viwango vya nini na wakati uhalisia uko mtaani? Kwani hata rais mwenyewe hagawi pesa?
Huwezi kurestore law and order kwa kuvunja sheria na katiba ya nchi! Unakumbuka Trump alivyokimbilia shimoni kisha akaita jeshi ili apige picha na biblia nje ya kanisa?Rais wa sasa kafanya kazi kubwa ya kurestore law and order.
Zile vurugu tulizozoea zimepungua kwa viwango vya kuridhisha.
Sijui.WB ndiyo hao hao mebeberu?
Sijakwepa, nimejibu sijui. Au ulitaka nijibuje kwa mfano?Umekwepa swali...
Hebu nieleze wapi ulisikia nikiwaita mabeberu; au unataka kunilisha maneno?Kwamba WB ndiyo hao hao mnaowaita mabeberu?
Chama gani?Sawa mkuu! Lakini tambuwa hii ndiyo kauli mbiu ya chama chako,...
You got him already, only not in Tanzania.
Of course I am dead serious.Now you’re definitely not serious at all.
Na wananchi wakikataa; au hiyo siyo 'option'?Rais ataendelea kuwa Magufuli mpaka 2025, na usishangae akatangazwa kwa 70% and above,
Tujiandae tu kisaikolojia mkuu
Asiposhinda atashindishwa