Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 5,165
- 8,959
- Thread starter
-
- #61
embu acheni unafiki wa isidingoPesa inayoachwa mezani ni Kwa ajili ya dharura ndogo ndogo, baada ya kuhakikisha chakula kimo ndani, mboga nk nk.
hayo ni maisha ya isidingoSiyo kukulia ushuani wala nini, isipokuwa kunyofoa kila siku toka mfukoni hela ya chakula, wewe unaona ni njia sahihi ya kuhandle familia?
Hata ukiwa na kipato kidogo kiasi gani lazima ujue kuna magonjwa, uzima na kifo.
Tengeneza mazingira ambayo, familia yaweza kusimama hata bila kutegemea pesa za kila siku za mfukoni mwako.
Na pia familia isikushinikize kutoa hela ya kula kila siku, maana siku zote siyo jumapili, kuna kupata, kukosa pamoja na majanga mengine niliyoyaeleza hapo juu.
Mwanamke wa namna hii ndio namtafutaLabda kila watu wana utaratibu,suala la kuacha kodi ya meza kila siku sina uzoefu nayo,baba anafanya hivi anatoa kama laki tatu au nne kuna kinotebook hiyo hela inakaa ko ukitaka kununua kitu unachukua hapo hela,haijalishi una stock ndani,na baada ya mda anakuwa anaongeza hela.
NOTE.Nadhani anafanya vile kwa sababu mimi sina matumizi ya hovyo(kwa kweli mi ni bahiri)na pia sina shida na hela ndogo ndogo.Sasa jichanganye kwa hawa vichwa maji eti unaacha keshi laki ngapi utajuta mbona.
Aah,tafuta hii nchi ina watu wengiMwanamke wa namna hii ndio namtafuta
HaleftBraza kede anasema "Mbaba"
Vipato vya Watz havilingani, mipango hailingani, matumizi pia hayalingani.embu acheni unafiki wa isidingo
mtzania wa kawaida hana maisha hayo mnayosema ya kuacha pesa ya dharura.
kwanza ni kwa kipato gani?
Kuacha pesa kila siku ni sifa za familia maskini.Siachi pesa naacha material ya mwezi mzima na vegetables za wiki wiki. Wamama wakiwa kwenye himaya yangu sitaki wazoe kushika pesa
Muachie shemeji hela ya mchezo Mkuu. 😂😂Mimi kwangu siachi,mchele uko ndani,unga kwa aina.zake,mafuta nk.niache hela ya nini?
Kwanza kauliza mbaba. kwani wa mama hawa wajibiki?Kuacha kodi ya meza kila siku ni dalili ya umasikini
Una hoja usikilizweKwanza kauliza mbaba. kwani wa mama hawa wajibiki?
Tunatangaza usawa wa nini sasa?
tunaongelea kwa walio wengi mkuuVipato vya Watz havilingani, mipango hailingani, matumizi pia hayalingani.
1500Tuambie kama ni kwa siku/mwezi?
Weka mambo hadharani.
Ukweli utakuweka huru
Hivi wamama na wao wanaacha ya mezani au tuwaache kwanza?
mkuu jiandae kutHo.mbE.wa1500
Mkuu,mkuu jiandae kuto.mbe.wa
duh umetishaMkuu,
Mimi siishi dasilama nipo huku katavi ndani ndani Kijiji kinaitwa nsenda huku mahindi,maharage, viazi, mihogo + mbogamboda zipo za kujichumia shambani kwangu ,kisamvu,mchicha,majani ya maboga,kabeji,spinach,matembele buku jero inatosha huku kijijini na inabakia..
Kuacha home Buku jero (1500) Ni kwa majirwachache mnoo hapa kijijini maana Mimi kijijini ndio nakiduka Cha mahitaji muhimu
NB.
Huku Kodi ya nyumba unapata hata kwa 3000,7000,10,000 mkuu Tanzania Ni pana Sanaa sanaaa mkuu tembea ujionee
Niko katika kujenga uchumi ndani kukiwa na benki ya furu na sembe.Siachi hata 100.