SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,236
- 9,964
Ndioo maisha ndio haya hayaMkuu kwa stress hizi za maisha still una fall in love. Anyway......
Emu mtaje usikute ndio mume huyo uliyeandikiwa πΉHahahaha π
Dada hupoi Wala huboiπ€Έ
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Mpe maua yake tu. Mficha maradhi ......Hahahaha π
Dada hupoi Wala huboiπ€Έ
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
π€£π€£π€£Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasaπ€Hahahaha π
Dada hupoi Wala huboiπ€Έ
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Upwiru utamuumbua.Mpe maua yake tu. Mficha maradhi ......
Ntamuandalia Uzi ndoa ikipitaMpe maua yake tu. Mficha maradhi ......
Kwani kifungo hakijaisha tu bfEmu mtaje usikute ndio mume huyo uliyeandikiwa πΉ
Kubadilisha mlo sio dhambiπ€£π€£π€£Mnaotarajia kuoa mmeona hii....na ndo uhalisia wa dunia ya sasaπ€
Duh πKubadilisha mlo sio dhambi
π€£π€£π€£π€£π Hii imeendaKubadilisha mlo sio dhambi
Hana mududuWewe uniki flawa unatuaibisha wagachustan kwa nyege mshindo zako. Sogea hapo mrina upate jibaba la kimasai limetoka mere limeuza tanzanite hata likuhonge five meters (million 5) uache kelele mamalai
AnajijuaEmu mtaje usikute ndio mume huyo uliyeandikiwa πΉ
Namna hiyoDuh π