Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 2,237
- 4,384
Yaani kuna saa uki observe namna maisha yanavyokwenda, whether unaishi Africa au wherever. Kama umebahatika kuwa na familia yenye mke na watoto, kuna saa huwa unajiuliza ya kwamba, kama nitakuwa sipo duniani leo hii, welfare ya hawa viumbe in terms of uhakika wa kuishi vizuri na mtu wa kuwaongoza itakuwa certain kwa kiasi gani?
Inawezekana watu wengi wapo busy sana kutafuta hela wakidhani kwamba hiyo ni guarantee ya maisha ya watoto wao, lakini embu tujiulize, ni watoto wangapi wa matajiri ambao wazazi wao walikufa wakaacha wadogo labda na miaka 7, kama watakuwa na possibility ya kuzikuta hizo mali baada ya miaka 5 tu kutoka ufariki??
Wengine wetu ukichunguza hata wanaokuzunguka, ndugu na marafiki, unaona kabisa kwamba hapa hakuna mtu naweza sema kwamba anaweza kuchukua jukumu la ku take care my family when am not there.
Tumezungukwa na watu ambao ni very much selfish creatures na mbaya zaidi wana destructive mindset.
Na katika kufuatilia secret societies kama Freemason nikaja kugundua kwamba, they are kind of lifetime investment a person can choose.
Wana kauli yao pendwa huwa naipenda sana 'Brothers help each other'. Mimi hii imenigusa sana, na huwa inaenda mbali sana, yaani mtu anaweza kufa akaacha familia yake labda ina watoto wadogo lakini there are faithful people looking after your family. Utajikuta mpaka mtu anasoma anamaliza then ana land a job cause kuna watu ambao walishaform brotheehood ya kufa na kuzikana.
Na hivi vitu vina happen in the real world. Ukienda kwenye hizi best of the best international schools in Tanzania utakuta kuna watu wanasomeshwa kwa scholarship etc
Uzi wangu hauna hata maana yeyote, ila ninachowaza ni kwamba, usije ukajikita kwenye kutafuta sana pesa, kuna vitu vya ku add value na ku invest ni muhimu sana kuviangalia kwa ustawi na uhakika wa maisha ya familia yako.
Inawezekana watu wengi wapo busy sana kutafuta hela wakidhani kwamba hiyo ni guarantee ya maisha ya watoto wao, lakini embu tujiulize, ni watoto wangapi wa matajiri ambao wazazi wao walikufa wakaacha wadogo labda na miaka 7, kama watakuwa na possibility ya kuzikuta hizo mali baada ya miaka 5 tu kutoka ufariki??
Wengine wetu ukichunguza hata wanaokuzunguka, ndugu na marafiki, unaona kabisa kwamba hapa hakuna mtu naweza sema kwamba anaweza kuchukua jukumu la ku take care my family when am not there.
Tumezungukwa na watu ambao ni very much selfish creatures na mbaya zaidi wana destructive mindset.
Na katika kufuatilia secret societies kama Freemason nikaja kugundua kwamba, they are kind of lifetime investment a person can choose.
Wana kauli yao pendwa huwa naipenda sana 'Brothers help each other'. Mimi hii imenigusa sana, na huwa inaenda mbali sana, yaani mtu anaweza kufa akaacha familia yake labda ina watoto wadogo lakini there are faithful people looking after your family. Utajikuta mpaka mtu anasoma anamaliza then ana land a job cause kuna watu ambao walishaform brotheehood ya kufa na kuzikana.
Na hivi vitu vina happen in the real world. Ukienda kwenye hizi best of the best international schools in Tanzania utakuta kuna watu wanasomeshwa kwa scholarship etc
Uzi wangu hauna hata maana yeyote, ila ninachowaza ni kwamba, usije ukajikita kwenye kutafuta sana pesa, kuna vitu vya ku add value na ku invest ni muhimu sana kuviangalia kwa ustawi na uhakika wa maisha ya familia yako.