We Dada jirani yangu umenikera sana

We Dada jirani yangu umenikera sana

Ndo hivo unitue, janaume gani kila siku huna helaaa!!!, ndo mana nkakataa kuolewa na wewe, we Ni zigo Tu.....
hahahahahahaaa,,,,, so mbwa kichaa ndo alikuwa anakushughulikia??... hahahaaa kweli kila mmoja huelekea kwa walio wa kwake...
 
...humu kuna watu akili hazipo sawa,ndo maana huwa nasema,"dont take JF too siriaz"
 
ha ha ahahahaha.... utakuwa mamba.. ndiyo maana kenge kakufuata
 
Saw a tushajua unaendaga Giraffe hotel
 
BRN + BVR =

Jibu liko hapo juu...
 
Back
Top Bottom