mbwa kichaa
Member
- Nov 11, 2013
- 89
- 16
Salaam kwa wana JF
Kichwa cha habari kimeelewaka. Kuna mdada jirani yangu mimi na yeye tunaheshimiana sana jana kanikuta girrafe hotel na mdogo wangu wa kike nilimtoa out.
Akaanza kunitambulisha kwa ndugu za pamoja na wazazi wako kuwa mimi ni mchumba wako na tuna mipango ya harusi. Kwani ulikuwa na maana gani. Na mama yako kuanza kunitukana matusi. Kuwa nakuharibia maisha yako sijawahi na sina nia ya kuwa na wewe kwenye mahusiano yoyote na wewe.
Na iweje utangaze nia kwa chama changu wakati we sio mwanachama. Na sasa nakuambia una msemo unasena " mapenzi hayana komando" mi mwenzako nimeshakuwa rambo. #kenge wewe..
Najua utasoma maana ili ndio jukwaa lako.
Kichwa cha habari kimeelewaka. Kuna mdada jirani yangu mimi na yeye tunaheshimiana sana jana kanikuta girrafe hotel na mdogo wangu wa kike nilimtoa out.
Akaanza kunitambulisha kwa ndugu za pamoja na wazazi wako kuwa mimi ni mchumba wako na tuna mipango ya harusi. Kwani ulikuwa na maana gani. Na mama yako kuanza kunitukana matusi. Kuwa nakuharibia maisha yako sijawahi na sina nia ya kuwa na wewe kwenye mahusiano yoyote na wewe.
Na iweje utangaze nia kwa chama changu wakati we sio mwanachama. Na sasa nakuambia una msemo unasena " mapenzi hayana komando" mi mwenzako nimeshakuwa rambo. #kenge wewe..
Najua utasoma maana ili ndio jukwaa lako.