Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,110
- 5,010
Nimependa hapo kutoheshimiana kwa nguvu ya Dola, Bali tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na Sheria.Humu jamvini kimya ; unajua kwanini? Chadema wamecheza kama Pele katika angle zote
1. Viongozi wakuu wote wameshiriki akiwemo Lisu tuliyeambiwa ana ugomvi na Mbowe
2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front
3. Tuliambiwa maandamano ni vurugu,hakuna vurugu mwanzo mwisho.
4. Tuliambiwa wanaoandamana wanafikiri kwa kutumia nyayo; polisi na mkuu wa Mkoa wameandamana kila mmoja kwa njia yake sambamba na waandishi wa habari sidhani kama Nchimbi anaamini jeshi la polisi wanatumia nyayo kufikiri wala wana habari
5. Tuliambiwa maandamano yanalenga kupambana na SSH, maandamano yamejikita kwenye kero za wananchi.
6. Tuliambiwa maandamano hayaleti msosi mezani; wanasiasa wameona mabango yanavyoreflect maisha ya wapiga kura. Wapo busy kutatua kero ikiwemo kushusha bei ya sukari ambayo kabla ya kusikia maandamano hakukuwa hata na kauli ya bei elekezi
7. Tukaambiwa Watanzania hawataki maandamano, wenye dola wameona mwitikio ulivyokuwa mkubwa. Wametambua Watanzania wanaelewa wanataka nini.
8. Tukaambiwa na viongozi, wakae kwenye mazungumzo. Natumai wameona mazungumzo ya umma yalivyo na nguvu kuliko mazungumzo ya siri ya wanasiasa
9. Tukaambiwa polisi watafanya usafi, RC kaishia kufanya yeye usafi polisi wamemkataa
10. Tukaambiwa ni utekelezaji wa 4R, umma unasema hakuna 4R za mashinikizo . 4r ni kuruhusu mifumo ya sheria ifumuliwe tuache kuvumiliana na kuheshimiana kwa nguvu ya dola tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na sheria.
Tulia we shambenga, toka lini ccm iandae maandamano ya cdm?Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Angalia usije kujinyea...unaota bila shakaMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Wananchi hawadanganyiki tena. Wameunga mkono hoja mahususi za ukombozi. Tuliambiwa maandamano yanalenga kupambana na SSH, maandamano yamejikita kwenye kero za wananchi
Kanywe sumu mheshimiwa unateseka ukiwa wapi?Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Hebu tulia kwanza kama umevurugwa vileMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
4R wananchi wamesema hawataki hisani wanataka kama kweli huyo Mwenye 4R ana nia aziweke kwenye maandishi na sio bla bla. Tukaambiwa ni utekelezaji wa 4R, umma unasema hakuna 4R za mashinikizo . 4r ni kuruhusu mifumo ya sheria ifumuliwe tuache kuvumiliana na kuheshimiana kwa nguvu ya dola tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na sheria.
Wamebaki midomo wazi.....wamefuraaaTumetoka mballliiiii sana tumewafa mafisadiiii
una akili sanaMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Acha mawazo ya hivyo.ulitaka watu wauawe ndio ujue ni maandamano ya amani. Wanaoumiza watu ni wale wasiopenda amani ni hiyo nikwasababu wanakua hawajiamini kama wamefanya maendeleo kwa wananchi. Na dunia ya leo achana na tabia yakuamini mtu,sikiliza hoja zake kama zina mashiko zizingatie. CCM kamwe hawawezi kuratibu jambo linalowavua nguo.Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Watu wamependeza sana
HeheheKuna mazezeta roho zinawauma kwasababu wameumbuka vibaya.