Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
hivi kazi za kuhudumia bar ni ya kujidhalilisha? kuna wengine hawana hata hicho kinafasi cha kufuga kuku kuanzia eneo lenyewe na hata mtaji wenyewe, nipate kazi ya bar pale kilimanjaro hotel niache? kisa eti nina degree? haaa mnanitania tena naenda sana hapo maana najua nitawapata wateja walioko kwenye system na mwisho wa siku nitatoka, ajira zimekuwa ngumu sana siku hizi,
Kwa level yake ya kufikiri anaona ni kujidhalilisha, lkn mimi kwa mtazamo wangu, DHAMANI na BAR MADE (tena nafikiri itakuwa made in China) ndio hasa kujidhalilisha.
Wajinga wa namna hii ndio huenda kuchimba mitaro halafu wakiwaona watu wanaowafahamu wanajificha