We cannot be cheap because of problem of unemployment

We cannot be cheap because of problem of unemployment

dah unachokisema nikweli mkuu ila inaonekana hujawahi kukosa hata mia mfukoni aiseee
 
If you want to be a hero fight from zero. If you think you are a hero while you are not then you are more than an idiot!!! Huyo jamaa hana kitu ana kadigrii kake kamoja hana kazi anaona fedheha kufanya kazi nyingine akiziita za wasiosoma?? Hawa ndo conservative wasotaka kubadilika kuendana na mfumo wa maisha duniani!!wale wanaoenda kusoma nje ya nchi hawajaona vijana wenye digrii zaidi ya moja wakifanya part time ya kuosha vyombo pale Uingereza?????? Amka awe usinziaye!!!!
 
Thamani ya mtu mwenye shahada ni kuanzia shs ngapi? na ni kazi gani zinafaa kufanywa na mtu mwenye shahada na zipi hatakiwi kufanya?
 
Mie kiukweli huyu dada sijui kaka simuelewi juzi msela wangu amemuomba ushauri nini afanye kupitia gmail.com akakimbia akaishia kumwambia aongeze mtaji wa millioni 3 au 5 wkt mtu kamwambia anamilioni moja ss afu unasema mtu asisubiri ajira wakati hata kimawazo huwezi kumsaidia pia kumbuka sio wote humu tunaweza biashara wengine we have been in school for more than 16 year just imagine mtu una masters afu dada anataka uanze kuuza karanga kweli inaleta sense si utaishia kuvuta bangi na kuwa mlevi

habari yako kaka, utanielewa tu, huyo msela wako mwambie akuonyeshe mail zote nilizochat nao tangu mwanzo, nilimpa ushauri nini cha kufanya na hiyo mil yake moja aliyo nayo akaniambia hawezi, basi nikamwambia aendelee kusaka maisha na kuzikusanya zikifika 3mil, nitampa wazo lingine kulingana na tulivyoongea, so mwache yeye aje mwenyewe, mbona watu mnapenda kudevelop weakness kuliko strenghts za mtu jamani? pass through my all posts then utaelewa ni kitu gani namaanisha, usiishie kusema kuuza karanga tu,.
 
If you want to be a hero fight from zero. If you think you are a hero while you are not then you are more than an idiot!!! Huyo jamaa hana kitu ana kadigrii kake kamoja hana kazi anaona fedheha kufanya kazi nyingine akiziita za wasiosoma?? Hawa ndo conservative wasotaka kubadilika kuendana na mfumo wa maisha duniani!!wale wanaoenda kusoma nje ya nchi hawajaona vijana wenye digrii zaidi ya moja wakifanya part time ya kuosha vyombo pale Uingereza?????? Amka awe usinziaye!!!!

asante kaka kwa kunielewa maana kuna baadhi ya watu bado hawajanielewa ni kitu gani ninachomaanisha, ila laiti wote wangekua waelewa kama wewe tungefika mbali jamani, ubarikiwe sana
 
Na kwa taarifa yako, hao jamaa wasio na kazi za shahada ndio wanaomiliki nyumba zao wakati wewe na shahada yako unaendelea kupanga sinza, msasani kijitonyama n.k huku ukiendelea kutafuta hiyo kazi ya shahada.

Familia zawengi wetu hapa tunakua na hatua tatu, kwanza kabisa kuna suala la wazazi, linakuangalia wewe, wadogo zako wanakuangalia wewe na baada ya hapo wewe mwenyewe na familia yako. Kwa changamoto za kukabiliana na hayo mambo mtu anaona ni afadhali apate kazi ya kumpatia chochote ili kukidhi baadhi ya mambo yanayomsibu huku akiwa anaangalia utaratibu wa kazi nyingine.
 
Wewe lutambi kama wewe unaona ni msomi na unaithamini elimu yako, na una uhakika na maisha kaa kimya, yaan hukupaswa hata kusema chochote, kwani umeambiw hizo ajira mbadala ni za kudumu? zitawasaidia kupunguza ukali wa hali ngumu ya maisha, mfano unakuta mtu anakaa tu hana chochote anachofanya na ana degree mkononi, na mimi nahitaji mtu wa kusimamia store yangu nimpe hata laki na nusu,. ipo bora atulie tu home akisubiri hiyo ajira isiyojulikana inakuja lini kwa kutaabika au, akubali kufanya akipata angalao fedha hiyo? tena usirudie kusema tena eti wasiosoma na waliosoma we unalijua tabaka la wasio soma na waliosoma?na unaongelea kiwango gani cha elimu ndo mtu awe msomi? na kiwango gani awe sio msomi? unayajua maisha ya wasiosoma kwa asilimia ngapi wewe? sasa kwa taarifa yako wapo ambao unawaita wasiosoma lakini maisha yao hata kama una degree 4 huwez kuwafikia leo wala kesho, usipende kutofautisha watu kwa elimu zao, bali watofautishe kwa utashi na maarifa, EDUCATION IS NOT A CERTIFICATE BROTHER, EDUCATION IS SKILLS YOU HAVE and how are u able to utilizefully those skills.
 
Na kwa taarifa yako, hao jamaa wasio na kazi za shahada ndio wanaomiliki nyumba zao wakati wewe na shahada yako unaendelea kupanga sinza, msasani kijitonyama n.k huku ukiendelea kutafuta hiyo kazi ya shahada.

Familia zawengi wetu hapa tunakua na hatua tatu, kwanza kabisa kuna suala la wazazi, linakuangalia wewe, wadogo zako wanakuangalia wewe na baada ya hapo wewe mwenyewe na familia yako. Kwa changamoto za kukabiliana na hayo mambo mtu anaona ni afadhali apate kazi ya kumpatia chochote ili kukidhi baadhi ya mambo yanayomsibu huku akiwa anaangalia utaratibu wa kazi nyingine.

bora uwaambie walitambue hilo na unakuta wengi walifanikiwa kabla hata hawajasoma yaan kujiendeleza lakini utakuta mtu hapa et anatoa point kabisa et hawez kufanya kazi za wasiosoma, gosh! inasikitisha sana
 
jazba haikusaidii, jenga hoja jamii ikuelewe. Sio kila mweny degree bas ameelimika. Weng elimu zao zimeshndwa kuwakomboa. Kukubali kufanya kaz yoyote ni dalili ya kukata tamaa ya maisha, kulazmisha riziki aloipanga mungu ije kwa muda unaotaka wewe na baya zaid kutotambua thaman ya elimu yake kusabisha afanye kaz za wasio soma. Hvyo wasiosoma nao wanakosa pakwenda. Taarifa bila ya maarifa ni kaz bure.

take five
 
take five

Umeanzisha mada alafu unasupport pumba! hata mungu alisema jisaidie na mimi nitakusaidia sasa huyo uliompa tano anatakakuwasadikisha watu wakeshe kwa ibada ili mungu awaone! Take the reality at hand and deal with the situation!
 
hivi kazi za kuhudumia bar ni ya kujidhalilisha? kuna wengine hawana hata hicho kinafasi cha kufuga kuku kuanzia eneo lenyewe na hata mtaji wenyewe, nipate kazi ya bar pale kilimanjaro hotel niache? kisa eti nina degree? haaa mnanitania tena naenda sana hapo maana najua nitawapata wateja walioko kwenye system na mwisho wa siku nitatoka, ajira zimekuwa ngumu sana siku hizi,
 
Umeanzisha mada alafu unasupport pumba! hata mungu alisema jisaidie na mimi nitakusaidia sasa huyo uliompa tano anatakakuwasadikisha watu wakeshe kwa ibada ili mungu awaone! Take the reality at hand and deal with the situation!

yaan watu wote humu wangekua kama wewe ama kweli jamii ingeshangilia, yaan wewe unaona tena si kwa macho ya kawaida ni yale wanayosema nacked eyes ingawaje spellings nimechemka, ubarikiwe kaka, tuendeleze jahazi la kuwakomboa kifikra vijana wenzetu, pamoja
 
hivi kazi za kuhudumia bar ni ya kujidhalilisha? kuna wengine hawana hata hicho kinafasi cha kufuga kuku kuanzia eneo lenyewe na hata mtaji wenyewe, nipate kazi ya bar pale kilimanjaro hotel niache? kisa eti nina degree? haaa mnanitania tena naenda sana hapo maana najua nitawapata wateja walioko kwenye system na mwisho wa siku nitatoka, ajira zimekuwa ngumu sana siku hizi,

yaan watu kama nyinyi ndo ninaowataka, na ndo mnaotakiwa kwenye jamii, shida moja vijana wengi ni limbukeni wanaishia kutuita sisi wenye mawazo chanya kama haya kuwa ni mawazo ya kizamani,, sasa hawaelewi kuwa mawazo ya kizamani haya ni mali na yana thamani, achana na hayo yao ya kisasa yanayopoteza masaa..tupo pamoja brother keep it uup!
 
hivi kazi za kuhudumia bar ni ya kujidhalilisha? kuna wengine hawana hata hicho kinafasi cha kufuga kuku kuanzia eneo lenyewe na hata mtaji wenyewe, nipate kazi ya bar pale kilimanjaro hotel niache? kisa eti nina degree? haaa mnanitania tena naenda sana hapo maana najua nitawapata wateja walioko kwenye system na mwisho wa siku nitatoka, ajira zimekuwa ngumu sana siku hizi,

hivi unajua tofauti kati ya hotel vs bar. Wale waleeee
 
Wewe lutambi kama wewe unaona ni msomi na unaithamini elimu yako, na una uhakika na maisha kaa kimya, yaan hukupaswa hata kusema chochote, kwani umeambiw hizo ajira mbadala ni za kudumu? zitawasaidia kupunguza ukali wa hali ngumu ya maisha, mfano unakuta mtu anakaa tu hana chochote anachofanya na ana degree mkononi, na mimi nahitaji mtu wa kusimamia store yangu nimpe hata laki na nusu,. ipo bora atulie tu home akisubiri hiyo ajira isiyojulikana inakuja lini kwa kutaabika au, akubali kufanya akipata angalao fedha hiyo? tena usirudie kusema tena eti wasiosoma na waliosoma we unalijua tabaka la wasio soma na waliosoma?na unaongelea kiwango gani cha elimu ndo mtu awe msomi? na kiwango gani awe sio msomi? unayajua maisha ya wasiosoma kwa asilimia ngapi wewe? sasa kwa taarifa yako wapo ambao unawaita wasiosoma lakini maisha yao hata kama una degree 4 huwez kuwafikia leo wala kesho, usipende kutofautisha watu kwa elimu zao, bali watofautishe kwa utashi na maarifa, EDUCATION IS NOT A CERTIFICATE BROTHER, EDUCATION IS SKILLS YOU HAVE and how are u able to utilizefully those skills.

Binti unataka kulazimisha hoja isiyo na mashiko. Ulisema ulishawah kufanya kaz za ndan, mbona baada ya kuhitimu hukwenda kuifanya tena. Unataka kuwapotosha wenzako wawe wahudumu bar ili wawe machangudoa. Ushindwe
 
hivi unajua tofauti kati ya hotel vs bar. Wale waleeee

wewe unavyojua na yeye ndo hivyohivyo, kwani anaehudumia watu hotelini na bar kuna tofauti gani? majina yaleyale ila hotel wanaita waiter/waitress bar wanaita kwa kiswahili sasa wewe unataka kutofautisha nn hapa? kuna hoteli ambayo haina bar? acha usharo wewe?tuambie tukusaidie wewe kama unataka tofauti
 
hivi kazi za kuhudumia bar ni ya kujidhalilisha? kuna wengine hawana hata hicho kinafasi cha kufuga kuku kuanzia eneo lenyewe na hata mtaji wenyewe, nipate kazi ya bar pale kilimanjaro hotel niache? kisa eti nina degree? haaa mnanitania tena naenda sana hapo maana najua nitawapata wateja walioko kwenye system na mwisho wa siku nitatoka, ajira zimekuwa ngumu sana siku hizi,

hivi unajua tofauti kati ya hotel vs bar. Wale waleeee
 
hivi unajua tofauti kati ya hotel vs bar. Wale waleeee

mkuu kuna hotel isiyokuwa na bar au unataka kumaanisha nini? au ulifikiriA BAR ni hizo tu unazoziona huko tandale ukafikiri ndio bar? ila najua umeelewa sema tu unataka mjadala mrefu
 
Binti unataka kulazimisha hoja isiyo na mashiko. Ulisema ulishawah kufanya kaz za ndan, mbona baada ya kuhitimu hukwenda kuifanya tena. Unataka kuwapotosha wenzako wawe wahudumu bar ili wawe machangudoa. Ushindwe

hahahaha, bora nicheke maana mtu reluctant kama wewe nawapenda sana maana itafikia mahala utanyoosha mikono tu angalia na wenzako wanachosema, watu 2 hamuwez kuwakatisha watu tamaa,kwani unajua pamoja na kuhitimu nafanya nini kwa sasa? shida ni kwamba hujazisoma thread zangu vizuri go back and re-read then u will understand what i mean, siwez kuongea kitu ambacho sikifanyii kazi, nilianzia hukohuko kwenye uhousegirl nikaona inalipa nikaona ya nin tena kung'ang'ana na degree kusubiri ajira wakati kazi nyingine mbadala zipo kibaoo? kama kuna dada yako ambaye aliwah kuhudumu bar akawa changudoa naomba ushahidi, otherwise wakati mwingine kama huna hoja plz kaa kimya tu.
 
nimeanzisha mada hii baada kuona thread moja ikilamu mtu kukataa kaz akiwa hana kazi. Si kweli wala sahihi kwamba kama mtu hana kaz basi ajishushe dhamani yake na kufanya kaz ambao anaona fika haiko katika level yake. Vijana lazma tujue dhamani yetu na tukatae kunyonywa kwa kupewa kaz ambazo haziendani na ujira in the name of unemployment. Tuzikaae tujizatiti hata kuungana na kujiari wenyewe. Mtu ana shahada ya uhandisi unamwambia kawe bar made kisa hamna ajira, bora mara mia ukafuga kuku wako wa mayai ukauuza

Some intellectual thinking should be left to intellectuals and not University leavers. Wewe ni sifuri kabisa but still unazungumzia thamani.

Ungeanza kuonesha thamani yako kwenye bango: We cannot be cheap because of problem of unemployment.

Are you talking about problem of unemployment or unemployment problem? Sasa huyu ndio msomi anayewashauri wenzake watambue thamani zao. Wewe usiyejua hata kiswahili ndio unataka kujitutumua kuonesha thamani yako?

kazi hazina formula. Ulichokiongea kina mantiki lakini reading between the lines, intention yako ni ya kujikweza. Usikimbilie kwenye thamani (dhamani, sijui lugha gani hiyo) bali pia zingatia uwezo wako.

Kwa mfano, ukiwa na shahada ya uhandisi na bado hujui kiingereza (bar made = bar maid) wala kiswahili (dhamani = thamani) ambavyo ndio umefundishiwa miaka 18 basi hufai hata kufuga kuku kwa kujiajiri. Zingatia umahiri ndio utakuongezea thamani na sio shahada.
 
Back
Top Bottom