Mwanaume unakuwa mmbea hata mimi ningewapa kichapo. Huwezi ukawa mwanaume halafu ukawa mmbea. Ni bora tu wavae sketi wajiunge na vikundi vya kuchamba vya akina dada tujue moja.
Mwanaume unakuwa mmbea hata mimi ningewapa kichapo. Huwezi ukawa mwanaume halafu ukawa mmbea. Ni bora tu wavae sketi wajiunge na vikundi vya kuchamba vya akina dada tujue moja.
Mwanaume unakuwa mmbea hata mimi ningewapa kichapo. Huwezi ukawa mwanaume halafu ukawa mmbea. Ni bora tu wavae sketi wajiunge na vikundi vya kuchamba vya akina dada tujue moja.
Timu ya Shilawadu Yadaiwa Kuchezea Kichapo Kitakatifu Kutoka Kwa Moses Iyobo
From @mangekimambi_ - Jomoni embu amkeni, Mose Iyobo kawapa kichapo Shilawadu, mnaambiwa bonge la fujo hapo dukani kwa Aunty Kinondoni. Watu ndo wakaja kuamua na Shilawadu wameshindwa kumuhoji Mosee. Mnaambiwa Kwisa kala vichwa viwili vya kijeshi, Soudy kala mitama double double alikuwa anageukia hewani..Uwiiii mambo ni hiviii ni motooo
.
Ila huyu Mosee mbona anajifanya sana jamani?? Utasema sio dancer?? Au sababu kampata Aunty ndo anajiona?? Kha!!Shiladu wenyewe walienda dukani wakijua watamkuta Aunty wamuhoji kumbe Aunty kasafiri yuko China, hata wakati anachambana na Tunda alikuwa China. So kufika dukani ndo wakamkuta Baba Kuki badala waondoke wakataka kumchokonoa baba Kuki we ndo kikawaka.Mambo ni hivi ni fire
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.