Wazungu wanaisikitia CCM? (Picha)

wanaona kama wanasoma mahekaya ya abunuwasi
 
Jamaa anayekifunua hicho ki-ilani anawaza kimoyo moyo "What a bunch of liars and hypocrites"
 
Wanafikiria hivi ' Hawa Watanzania ni wati wa jabu Badala ya kuweka juhudi yao ndogo walionayo katika uzalishaji na kuboresha uchumi wao na ustawi wa jamii wanakalia kuandika vitu kama hivi ambavyo vinawachukulia 90% ya wakati wao. Maana baada ya kuandika upuuzi huu watakaa kujadili na kuurefusha upuuzi '
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…