Wazungu inabidi waje strategy Mpya kwa Afrika ya akina Magufuli!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Huwa najiuliza siku Raisi Magufuli akizinguana na Wazungu kwa kawaida huwa Wazungu wakizinguana na Viongozi wa Kiafrika huwa wanaanza kuwapiga stop Viongozi wa Kiafrika kutembelea nchi zao yaani Marekani na Ulaya , sasa hapa kwa Raisi Magu wetu itabidi waje na mbinu mpya kwa maana hana hata haja ya kwenda huko Ulaya na Marekani, kwanza kwa Magu wetu kama ingewezekana hata angetoka Ikulu akaishi kijijini na masikini wa TanZania na kuongoza nchi kutokea kijijini na siyo kwenye Majumba makubwa na viti vya kuzunguka kama alivyosema yeye mwenyewe!

Inabidi sasa Wazungu waje na mbimu mpya kabisa kwa maana ya kupiga ban kusafiri kwenda Ulaya kwanza ndiyo ataifurahia, itakuwa imemrahisishia kazi!
 
Kaka vikwazo vipo vingi sana, wanaweza sio lazima viwe vya kusafiri safiri
 
Magufuli anasimama njiani kuangalia ujenzi wa barabara, bado anaimiss wizara ya ujenzi, anayamiss yale mabishano kati yake na makandarasi wazembe. Nasikia anajifungia Ikulu anapiga kazi mpaka usiku. Safari anawaachia wasaidizi wake wa karibu. Marais wazungu watamuona mara chache sana.
 
Mbinu ya nini? Wanafungulia mbu wa virusi au wanalipa watu waingie msituni
 
Magufuli anasimama njiani kuangalia ujenzi wa barabara, bado anaimiss wizara ya ujenzi, anayamiss yale mabishano kati yake na makandarasi wazembe. Nasikia anajifungia Ikulu anapiga kazi mpaka usiku. Safari anawaachia wasaidizi wake wa karibu. Marais wazungu watamuona mara chache sana.
leo mko bize kusifia na kesho akianza kuaribu mwendelee kumsifia.mkumbuke kulikua na mr.clean na mwishoe tumeyaona
 
Ukinisoma vizuri ndiyo maana nikasema inabidi waje na mbinu mpya kwa maana ya kusafiri kwa Magu wetu ndiyo kama itakuwa kumpiga chura teke!
Mbinu zinyewe unazozitaka ni hizi .

1-hawatonunua bizaa zetu zote kana za kilimo na madini (economic sunctions

2- wanaweza kuzuia viongozi wengine mbali ya raisi pia kutosafiri kuingia kwao .

3-wanaweza kuzuia raia wao wasitembelee hapa kwetu na kuathir secta ya utalii

Sisi bado kwa sasa mpaka uchumi wetu uiamarika kana vile south afrika
 
Huwa najiuliza siku Raisi Magufuli akizinguana na Wazungu kwa kawaida huwa Wazungu wakizinguana na Viongozi wa Kiafrika huwa wanaanza kuwapiga stop Viongozi wa Kiafrika kutembelea nchi zao yaani Marekani na Ulaya , sasa hapa kwa Raisi Magu wetu itabidi waje na mbinu mpya kwa maana hana hata haja ya kwenda huko Ulaya na Marekani, kwanza kwa Magu wetu kama ingewezekana hata angetoka Ikulu akaishi kijijini na masikini wa TanZania na kuongoza nchi kutokea kijijini na siyo kwenye Majumba makubwa na viti vya kuzunguka kama alivyosema yeye mwenyewe!

Inabidi sasa Wazungu waje na mbimu mpya kabisa kwa maana ya kupiga ban kusafiri kwenda Ulaya kwanza ndiyo ataifurahia, itakuwa imemrahisishia kazi!

Labda wampe ban mkewe asimpikie ugali na nyama Ngosha ataifeel!!!
 
Barbarosa kwenye wajinga10 maarufu jamii forum hukosi unaandika sana pumba kwa wajerumani barbarosa manake failure (kushindwa)
 
Huwa najiuliza siku Raisi Magufuli akizinguana na Wazungu kwa kawaida huwa Wazungu wakizinguana na Viongozi wa Kiafrika huwa wanaanza kuwapiga stop Viongozi wa Kiafrika kutembelea nchi zao yaani Marekani na Ulaya , sasa hapa kwa Raisi Magu wetu itabidi waje na mbinu mpya kwa maana hana hata haja ya kwenda huko Ulaya na Marekani, kwanza kwa Magu wetu kama ingewezekana hata angetoka Ikulu akaishi kijijini na masikini wa TanZania na kuongoza nchi kutokea kijijini na siyo kwenye Majumba makubwa na viti vya kuzunguka kama alivyosema yeye mwenyewe!

Inabidi sasa Wazungu waje na mbimu mpya kabisa kwa maana ya kupiga ban kusafiri kwenda Ulaya kwanza ndiyo ataifurahia, itakuwa imemrahisishia kazi!
hivi wewe ni miongoni mwa wale vijana wa mtandaoni aliowasema kikwete kule singida nini? hivi Tanzania uwekewe vikwazo vya miezi miwili tu unafikiri hiki ki-nchi kitatawalika? tuna-import kila kitu halafu wewe unakuja na upuuzi wako humu. waambie na hao mbwa wenzako kuwa hivyo vikwazo vya hao mabwana sio vya kukimbilia hata siku moja.
wewe kama umeajiriwa na ccm kupiga propaganda humu tafuta zilizo saizi yako
mwl. nyerere anatuasa kuwa hao jamaa wanapanga beo mpaka korosho za mzaramo.
achana na hao jamaa kabisa.
Ewe Mungu tuepushie mbali balaa hilo.
 
Waulize Zimbabwe, usikute maisha yako yote hujawahi kutoka nje ya Tanzania hivyo ni ngumu kwako kuelewa yanayoendelea ktk sehemu nyingine ya dunia hii.In fact Zimbabweans wanatamani hata kesho Mugabe aachie madaraka,amefanya maisha yao kuwa magumu sana.South Africa na utajiri wake wote hawafikirii hata kidogo kutengana na Ulaya,wamejifunza kile kinachoipata Zimbabwe. Kila siku wanawapokea Zimbabweans wanaoikimbia nchi yao.Unataka Tanzanians pia tugeuke wakimbizi ktk nchi yetu wenyewe kwasababu ya kiburi cha mtu mmoja au kundi la watu wachache?
Huwa najiuliza siku Raisi Magufuli akizinguana na Wazungu kwa kawaida huwa Wazungu wakizinguana na Viongozi wa Kiafrika huwa wanaanza kuwapiga stop Viongozi wa Kiafrika kutembelea nchi zao yaani Marekani na Ulaya , sasa hapa kwa Raisi Magu wetu itabidi waje na mbinu mpya kwa maana hana hata haja ya kwenda huko Ulaya na Marekani, kwanza kwa Magu wetu kama ingewezekana hata angetoka Ikulu akaishi kijijini na masikini wa TanZania na kuongoza nchi kutokea kijijini na siyo kwenye Majumba makubwa na viti vya kuzunguka kama alivyosema yeye mwenyewe!

Inabidi sasa Wazungu waje na mbimu mpya kabisa kwa maana ya kupiga ban kusafiri kwenda Ulaya kwanza ndiyo ataifurahia, itakuwa imemrahisishia kazi!
 
Back
Top Bottom