Mnataka aongezewe ili azipeleke wapi?? Kula bureeee....kulala bureeee.... matibabu bureeee....umeme bureeee....maji bureeee..... usafiri bureeeee....... bado tu mnataka aongezewe????? Muwe na huruma wakati mwingine. Au mnataka na yeye aishi zaidi ya malaika??? Wote tuishi kama mashetani hii nchi iwe jehanamu sasa.