Sio kazi ya mbunge kujenga barabara. Nenda halmashauri ya manispaa waambie wakuonyeshe ofisi ya mhandisi muulize maswali yako kuhusu hiyo barabara!Labda kwanza aje atengeneze kwanza barabara
Sio kazi ya mbunge kujenga barabara. Nenda halmashauri ya manispaa waambie wakuonyeshe ofisi ya mhandisi muulize maswali yako kuhusu hiyo barabara!Labda kwanza aje atengeneze kwanza barabara
Haya Mh. Mdee!! Basi njoo basi kwenye jimbo lako hali ya barabara ni mbaya sana utusaidi gari zetu zinaharibika sana.
Kusanya wajinga wenzako mkampokee
Wewe ndie mjingaKusanya wajinga wenzako mkampokee
Hivi inawezekana kuweka ubabe na mwanamke??? Basi wananume siku hizi adimu sana,, enzi zile mwanamke alikuwa anapewa viti maalum vya upendeleo siku hizi wanafukuzwa kabisa bungeni na wanawake wenzao wako kimya, wapi TAMWA???Tuko pamoja mkuu. Wap UKUTA. Mbowe tuletee ukuta wetu..huu ubabe sasa umepitiliza