Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,135
- 20,764
- Thread starter
- #21
Safi Sana Mkuu, Hebu anzisha Thread nyingine yenye heading kama hii ili kuwakusanya wanabunda wote... Kama Kuna lolote tuwasiliane ili kuorganise hizi event.. Pamoja Tunaweza.Mi pia na wazo kama hili. Niko musoma na arrange tuende kumpokea mbunge wetu jimboni. Hawa ni wanawake wa shoka c kama wale wakupewa kule mjengoni