Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Naitaka Serikali ya Jamuhuri itunge sheria itakayotoa kibari kwa kila kijana aliye na umri wa miaka 18-35 na kuendelea (awe tajiri au masikini, awe na ajira au hana) kuchangia kwa lazima Tsh.6,000 kila mwaka.
Napendekeza fedha zitumike ktk eneo moja ambalo ni viwanda tu.
Naomba utaratibu uwe kama ifuatavyo;
1. Ujenzi wa kiwanda kikubwa kimoja kila wilaya ambacho kitatoa ajira kwa hao vijana.
2. Serikali mmnaweza fanya mapendekezo ni wilaya ipi inafaa kiwanda kikubwa cha watu wa Jamhuri kijengwe.
3. Viwanda vijengwe vitano (5) kwa mwaka.
4. Hivyo viwanda viwe na uwezo wa kutoa ajira zisizopungua idadi ya watu 250-450.
5. Wasimamizi wa hivyo viwanda wawe vijana wenyewe.
6. Utaratibu wa ajira ni kila kijana kujisajiri kupitia serikali ya mtaa wake.
7. Pawe na akaunti maalumu ya kuweka hizo pesa. Napendekeza ziende moja kwa moja BOT.
8. Vijana wa mkoa husika ambapo kiwanda kinajengwa ktk wilaya yao ndio wapewe ajira.
Napendekeza fedha zitumike ktk eneo moja ambalo ni viwanda tu.
Naomba utaratibu uwe kama ifuatavyo;
1. Ujenzi wa kiwanda kikubwa kimoja kila wilaya ambacho kitatoa ajira kwa hao vijana.
2. Serikali mmnaweza fanya mapendekezo ni wilaya ipi inafaa kiwanda kikubwa cha watu wa Jamhuri kijengwe.
3. Viwanda vijengwe vitano (5) kwa mwaka.
4. Hivyo viwanda viwe na uwezo wa kutoa ajira zisizopungua idadi ya watu 250-450.
5. Wasimamizi wa hivyo viwanda wawe vijana wenyewe.
6. Utaratibu wa ajira ni kila kijana kujisajiri kupitia serikali ya mtaa wake.
7. Pawe na akaunti maalumu ya kuweka hizo pesa. Napendekeza ziende moja kwa moja BOT.
8. Vijana wa mkoa husika ambapo kiwanda kinajengwa ktk wilaya yao ndio wapewe ajira.