utakuwa umesoma HKL, kutaga kwa kuku hakuna uhusiano na jogoo. Jogoo anatumika kurutubisha mayai yatakayotagwa yawe na uwezo wa kutotolewa tu. Mchana mwema
utakuwa umesoma HKL, kutaga kwa kuku hakuna uhusiano na jogoo. Jogoo anatumika kurutubisha mayai yatakayotagwa yawe na uwezo wa kutotolewa tu. Mchana mwema
We kumbe unakula mayai ambayo hayajarutubishwa, that's why uko kiuromborombo ivo, nimegundua hilo pia, ahsante kwa kunifanya nigundue kuwa kuku huwa wanataga bila jogoo
Kwani hicho ni kichina mkuu, au we ni slow soldier nn? Ngum kukomprehend vitu, pipo dizaini yako wakisimuliwa jokes leo huwa hawacheki mpka kesho, at that tym hawajui kuwa ni joke mpka watulie sana ndo wanadiscover
Kwani kuna kiwanda cha condom za kuku?
Kama zingekuwepo, zingekuwa zinawekwaje kwa kuku?
Mtoa wazo nakushauri uwe unafikiria kwanza kabla ya kuuonyesha ulimwengu kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.
Kwani kuna kiwanda cha condom za kuku?
Kama zingekuwepo, zingekuwa zinawekwaje kwa kuku?
Mtoa wazo nakushauri uwe unafikiria kwanza kabla ya kuuonyesha ulimwengu kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.