utakuwa umesoma HKL, kutaga kwa kuku hakuna uhusiano na jogoo. Jogoo anatumika kurutubisha mayai yatakayotagwa yawe na uwezo wa kutotolewa tu. Mchana mwema
sijakusoma
"kuku wakijua kutumia condom tutakula chips kavu mwanzo mwisho"
"kuku wakijua kutumia condom tutakula chips kavu mwanzo mwisho"
Unajaza sever, kila mtu akianzisha thread ya wazo la leo! hapatatosha humu.
Nyamaza wewe, server ya baba yako ...nyambaf!
Nyamaza wewe, server ya baba yako ...nyambaf!
Wewe itakua akili zako zipo mkund*n* ........
Hilo jibu pigia mstari tu
msiambiwe ukweli
dah ungejua tabia za layers usingepost kabisa..
Mk*nd* unakuwasha?? sema tu jombaa upate msaada.Kama wewe
Mama diamond we si mjamzito lakn, au diamond amedanganya umma, embu kaa kimya ..utajifungua premature!
Kwani kuna kiwanda cha condom za kuku?
Kama zingekuwepo, zingekuwa zinawekwaje kwa kuku?
Mtoa wazo nakushauri uwe unafikiria kwanza kabla ya kuuonyesha ulimwengu kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.