Wazo la ajira kwa Serikali

Wazo la ajira kwa Serikali

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,339
Reaction score
1,493
Heshima kwako muhusika!

Napendekeza wazo la ajira ambalo litasaidia wazee, walemavu na watu wasiojiweza kiuchumi kusaidika na kuwa fursa kwa vijana wahitimu wa ngazi tofauti za elimu hapa nchini.

Napendekeza Wizara ya Afya + Wizara ya Ulinzi washirikiane kwa pamoja katika kutekeleza hili swala kibajeti na vitendea kazi.

Zijengwe "Kata House" zenye uwezo wa kuchukua watu 200 - 500 kila kata ambazo watakaa watu wenye ulemavu wote (wasio na uwezo kujihudumia), wazee wasiojiweza, watu masikini kabisa na watoto wasio na makazi.

FAIDA
1. Tutaondoa tatizo la watu masikini na wasiojiweza nchi nzima.
2. Sera ya ustawi wa Taifa itafanyika na kutimilika vizuri.
3. Tutatengeneza ajira zisizopungua 20-30 kwa kila kata nchini (Vijana wanaohitimu vyuo mbalimbali)
4. Tutachochea mpangilio mzuri wa maendeleo ktk mji/ mijini na maendeleo ya watu kiuchumi.
5. Tutakuwa tunaona muelekeo mzuri ktk kufikia uchumi wa kati.


GHARAMA ZA UENDESHAJI "KATA HOUSE"
1. Wizara tajwa zitawajibika ktk kutoa bajeti ya kuendesha hizo program zikisaidiana na wananchi husika wa KATA husika kuchangia gharama ndogo ndogo ili kuchochea maendeleo ya kituo.

2. Serikali kuu inaweza kuazimia kuziombea fedha hizi program na kuzifadhili kwa namna inavyoona inafaa.

3. Kila kituo ktk KATA lazima kianzishe mradi wa kujiendeleza wenyewe usiojihusisha na kodi za moja kwa moja, mfano ufugaji ng'ombe maziwa, mbuzi wa nyama, kuku mayai au nyama, kilimo biashara nk

MWISHO
Kuhusu hili wazo Serikali itaweza kutengeneza ajira kubwa kwa vijana na upande mwingine ikiondoa changamoto za watu wasio na makazi kuzagaa mitaani, omba omba wa mijini, umasikini wa vipato na walemavu wa aina zote wasiojiweza.
Nakumbusha hili, Serikali ina wajibu kwa wananchi kuwapa ustawi bora wa maendeleo kimaisha na kiuchumi.
 
Wazo zuri Sana Sema Wachangiaji ndo hakuna na hata hiyo serikali Kama imeshindwa kujenga Shule, zahanati au Vituo vya Polisi na Nyumba za watumishi sidhani kama itakuelewa..
 
Heshima kwako muhusika!

Napendekeza wazo la ajira ambalo litasaidia wazee, walemavu na watu wasiojiweza kiuchumi kusaidika na kuwa fursa kwa vijana wahitimu wa ngazi tofauti za elimu hapa nchini.

Napendekeza Wizara ya Afya + Wizara ya Ulinzi washirikiane kwa pamoja katika kutekeleza hili swala kibajeti na vitendea kazi.

Zijengwe "Kata House" zenye uwezo wa kuchukua watu 200 - 500 kila kata ambazo watakaa watu wenye ulemavu wote (wasio na uwezo kujihudumia), wazee wasiojiweza, watu masikini kabisa na watoto wasio na makazi.

FAIDA
1. Tutaondoa tatizo la watu masikini na wasiojiweza nchi nzima.
2. Sera ya ustawi wa Taifa itafanyika na kutimilika vizuri.
3. Tutatengeneza ajira zisizopungua 20-30 kwa kila kata nchini (Vijana wanaohitimu vyuo mbalimbali)
4. Tutachochea mpangilio mzuri wa maendeleo ktk mji/ mijini na maendeleo ya watu kiuchumi.
5. Tutakuwa tunaona muelekeo mzuri ktk kufikia uchumi wa kati.


GHARAMA ZA UENDESHAJI "KATA HOUSE"
1. Wizara tajwa zitawajibika ktk kutoa bajeti ya kuendesha hizo program zikisaidiana na wananchi husika wa KATA husika kuchangia gharama ndogo ndogo ili kuchochea maendeleo ya kituo.

2. Serikali kuu inaweza kuazimia kuziombea fedha hizi program na kuzifadhili kwa namna inavyoona inafaa.

3. Kila kituo ktk KATA lazima kianzishe mradi wa kujiendeleza wenyewe usiojihusisha na kodi za moja kwa moja, mfano ufugaji ng'ombe maziwa, mbuzi wa nyama, kuku mayai au nyama, kilimo biashara nk

MWISHO
Kuhusu hili wazo Serikali itaweza kutengeneza ajira kubwa kwa vijana na upande mwingine ikiondoa changamoto za watu wasio na makazi kuzagaa mitaani, omba omba wa mijini, umasikini wa vipato na walemavu wa aina zote wasiojiweza.
Nakumbusha hili, Serikali ina wajibu kwa wananchi kuwapa ustawi bora wa maendeleo kimaisha na kiuchumi.
wazo zuri ila inchi hii haina huo uchumi ndugu wa kufanya hayo.. Usisikilize wanasiasa.

Magereza tu yanashindwa kuwalisha wafungwa ambao wanaya hayo majumbani (magereza) na mashamba sio kwamba wafugwa ni wavivu hapana vifaa Hakuna na Serikali inadai haina uwezo huo wa kununua.

Nchi hii sehemu pekee ambapo ni mahali sahihi iliyopaswa kupokea na kuwapeleka vijana Kwa wingi na kuibua vipaji na uzalishaji mwingi ni jkt lkn bado hata jkt inashindwa kuwafanya vijana wajitegemee.

Tatizo ni.
#usimaminizi waserikali ni wa kiwango cha chini sna.

#kila kijana kuwa na mindset ya kuajiriwa

#juhudi za serikali kuwezesha vijana ni asilimia 7% ya 100.

#mazingira ya kumuwezesha kijana kupambana yaani upatikanaji wa mitaji na mazingira ya kibiashara ni asilimia 9%.

#uwepo wa sera za kuinua vijana bongo ni 100% hizi zipo kwenye makaratasi.

#uwezo binafsi na ufahamu wa vijana ktk kujikomboa kiuchumi na kifikra ni asilimia 12%.

NB: bila ya serikali kumaanisha Kwa dhati kuwasaidia vijana baada ya miaka 30-40 hili taifa litakuwa na watu wa ovyo kabisa na mafukara wengi Sana huku wenye uchumi mzuri wakiwa ni wachache sana.
Alutaa kontinuaaa!
 
Mkuu wazo lako halija kaa kiuzalishaji

What is real expected to be produced there

Nina utazalisha?
Ku keep watu ni swala ambalo linahitaji uwe umeshazalisha au unazalisha so faida inayopatikana ndio itumike kukeep watu kama hao.

Wazo lako ni la social development ambalo linahitaji boost kutoka kwenye vyanzo vengine
 
Back
Top Bottom