Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,512
- 41,022
Hao watoto wanakosa huduma bora kutokana na mfumo mbaya wa utawala na mbinu duni za kujenga uchumi. Tuchangie jitihada za kuondoa mfumo unaosababisha watoto wasipate huduma bora.kuna watu ni wapumbavu sana, yaan ukamchangie mbunge anayepata mshahara Mkubwa, posho kubwa, pamoja na benefits nyingii tu. si bora ukachangie watoto waliozaliwa na matatizo ya moyo pale muhimbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app