Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Inabidi tujiongeza kwa kuonyesha tuko pamoja na Lissu kwa kuanzisha kampeni maalumu ya kumchangia ambayo itakoma pale tu siku anapopewa dhamana.
Fedha zitakazopatikana zielekezwe katika kutatua matatizo yaliyoko katika jimbo lake kwani watu wa jimbo hilo ndio waliotuletea mpambanaji huyu.
Wakati wao wanamshikilia,sisi tunamuwezesha.
Nina hakika michango hiyo itaandika historia na itawashitua wale jamaa.
Akikaa ndani miezi kama Lema basi atoke na mamilioni kadhaa.
Wekeni utaratibu wa wazi watu kuchangia muone muitikio wake.
Kuna watu wanatuhumiwa kununua madiwani na wengine kutoa mikopo kwa vijana hivyo sioni tatizo na sisi tukaja na huu mkakati.
Tjifunze kwa yaliyomkuta Lema na tuwe na mkakati wa ku-discourage haya mambo.
Fedha zitakazopatikana zielekezwe katika kutatua matatizo yaliyoko katika jimbo lake kwani watu wa jimbo hilo ndio waliotuletea mpambanaji huyu.
Wakati wao wanamshikilia,sisi tunamuwezesha.
Nina hakika michango hiyo itaandika historia na itawashitua wale jamaa.
Akikaa ndani miezi kama Lema basi atoke na mamilioni kadhaa.
Wekeni utaratibu wa wazi watu kuchangia muone muitikio wake.
Kuna watu wanatuhumiwa kununua madiwani na wengine kutoa mikopo kwa vijana hivyo sioni tatizo na sisi tukaja na huu mkakati.
Tjifunze kwa yaliyomkuta Lema na tuwe na mkakati wa ku-discourage haya mambo.