Waziri wa uchukuzi

Waziri wa uchukuzi

MWAMOSHI

Senior Member
Joined
Feb 25, 2010
Posts
103
Reaction score
22
Dr Harison Mwakyembe naomba ufuatilie ile bandari bubu kule Pemba Mnazi kati ya shamba la Amadori na Azam kuna mizigo inapakuliwa na kushushwa kila siku ambayo tunakosa mapato. Ilisha ripotiwa siku nyingi mimi nakutonya tu uifanyie kazi haraka iwezekenavyo.
 
Kwa Maoni yangu, nadhani tunapaswa kumhurumia mh Mwakyembe kwa mizigo mikubwa aliyonano ktk kutekeleza Malengo ya Wizara yake na Serikali kwa ujumla, hivyo suala la Bandari bubu, kupakiwa na kushushwa kwa mizigo na hatimaye kukosekana kwa mapato, bila Shaka lingepaswa kupatiwa ufumbuzi wa kudumu na Mamlaka mbalimbali ktk Ngazi za kijiji/ mitaa husika, kata, tarafa, hadi Wilaya. Kwa kumpatia majukumu mengi na mengine yaliyo Nje ya Mamlaka ya Mh Waziri, licha ya kumchosha, lakini pia inasababisha anakuwa na Jazba, anakurupuka kutoa maagizo na maelekezo ambayo licha ya kutokutekelezeka, lakini pia wenye Mamlaka ya kufanya kazi hizo humpuuza na kumbeza!!!
Kila kiongozi awajibike ktk nafasi yake kutimiza wajibu wake! Inawezekana!!
 
Hiyo wizara sio ya Jamhuri ya Muungano. Ina waziri wake huko Zanzibar.
 
Mambo haya si kila kitu Mwakyembe, taifa hili ni letu sote. Toa taarifa kwa vyombo vya usalama, ili viweze kuchukua hatua.
 
Ni kweli kabisa kila kitu mwakyembe baba wa watu alinusurika katika -----sasa mtammaliza kwa umaskini wenu uozo wa karne mnataka aumalize kwa mass tuuu hiyo haiwenzekani .
mambo haya si kila kitu mwakyembe, taifa hili ni letu sote. Toa taarifa kwa vyombo vya usalama, ili viweze kuchukua hatua.
 
Back
Top Bottom