kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nakumbuka kipindi cha prof muhongo tulipumzika kidogo na hii kadhia ya kukatika kwa umeme.
Sasa umeme kahama hautabiriki kabisa.Utakatika kila jumapili.Utakatika muda wowote kutwa nzima.Na sasa niandikapo umekatika.
Huyu waziri amekwama wapi?
Maana isije kuwa hujuma ya wauza mchele.Maana umeme ukikatika hivi,mchele unapanda bei.
Kibaya zaidi hawatoi taarifa.Hivi mnasubiri hadi Rais aje kuwaelekeza nini cha kufanya?
Unafeli wapi mheshimiwa waziri kuwasimamia watu wa kahama.Maana naona wanafanya kazi kwa mazoea
Sasa umeme kahama hautabiriki kabisa.Utakatika kila jumapili.Utakatika muda wowote kutwa nzima.Na sasa niandikapo umekatika.
Huyu waziri amekwama wapi?
Maana isije kuwa hujuma ya wauza mchele.Maana umeme ukikatika hivi,mchele unapanda bei.
Kibaya zaidi hawatoi taarifa.Hivi mnasubiri hadi Rais aje kuwaelekeza nini cha kufanya?
Unafeli wapi mheshimiwa waziri kuwasimamia watu wa kahama.Maana naona wanafanya kazi kwa mazoea