Waziri wa Sanaa na Michezo Palamagamba Kabudi kukutana na viongozi wa Simba, Yanga, TFF na Bodi ya Ligi Alhamisi

Rungu la kipepe,na ipo siku fifa watashusha rungu kweli.TUENDELEE KUENDEKEZA SIASA.
 
I have never seen such kind of rubbish in my life.
 
Wazee wa kanuni nao wamekubali kwenda? Wamekubali kwa kanuni ipi sasa harma ya derby kwenda kuamuliwa na wizara?
 
Kwanini 51mba hawajaitwa?
 
TFF wameshindwa wameamua kuitumia Serikali ili mechi ichezwe..
 
Haya ndio mambo yanayofanya Simba na Yanga wawe na vizuri. Kanuni si zipo? Kwa nini usichukue hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…